Makonda is almost so damn right!

Status
Not open for further replies.
Mimi siwezi kabisa kumuamini huyu jamaa, hivyo siwezi kuwa fooled kirahisi hivyo.

Anayejiita Mwanaharakati huru lakini huwezi kamwe kumsikia kwamba kaita press akakemea kutekwa na kupotea kwa Watu.

Mwanaharakati pekee anayeweza kukashifu Watu hata wenye nyadhfa na heshima kwenye jamii kwa uhuru na wala asiwe na hofu ya kukutwa na yaliyowakuta kina Sanane, Nondo n.k...labda ndio anachomaanisha kwa kujiita 'Mwanaharakati huru'

Nimeshindwa hata kuangalia hiyo video you tube maana naona nitapoteza mb zangu bute tu.

Ni usanii tu hapa.
 
Mbona askofu wenu shoooo....ga kamwita makonda chatu,kifutu humulalamikii?
 
 
Anajua SIRI KUBWA SANA ya aliyemteua hivyo tutegemee ipo siku atamgeuka hata mteule wake
 
Kodi ya yale makontena yake alilipa? Yaliishia wapi? Mil 147 alizopewa na Marehemu Mzee Mengi kulipia buffet la maaskofu ali-declare kwa Tume ya Maadili?
 
Ulisahau form four failure, na mambo ya bandari, kutangaza wabunge wenye watoto wa nje, kutangaza survey ya jinsia moja, etc, etc! Huyu ana mambo mengi ya ajabu tu!
 
Nilishangaa kuona anashindana na Waziri wa Fedha kulipia furniture alizoagiza hataki kulipa kodi? Hadi Mh Rais akaingilia kati, nilishangaa sana
 
Bashite ana kiburi cha tako, akiliona tako lilivyo kuuuubwa anaamini ana maisha marefu sana,

Kuna MTU alikuwa na tako kama Agness Masogange??? Yupo wapi SASA??

Tako lililoumuka lisikupe jeuri ukajiona Una uhai wa kudumu!
Mkuu umeua, duh!
 
vipaza sauti vya bwana yule vimeanza vimeanza kupaziana sauti vyenyewe....
 
Mbeleko hii labda ipotee na mwenye mbeleko bila hivyo mtasubiri sana. Bashite ni untouchable .
aliyeifunga mbeleko ni kiziwi na kwakuwa ni kiziwi ni kipofu pia.
vyeti vyenye utata.
uvamizi wa clouds
kuanzisha operation ambazo hazipimiki mf. ile ya wajane na waliotelekezwa unapimaje kama imefanikiwa au la? mambo ya ustawi yanafanywa na lihuni tena barabarani without any confidentiality.
kuwabagua watu kwa makabila na kuleta kiburi mazabahuni
yote yamepita hata lile la kuingiza makontena nalo likapita
 
Hata ile vita ya madawa ya kulevya mbona miaka yote inapigwa kimya kimya?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…