Makonda is a good leader, sema kupenda sifa na kujipandisha ndio kunamwangusha sana

Utopolo mtupu.
Kwa hiyo unaona majisifu ndio uongozi bora. Hebu tuambie kwa muda aliokuwepo alifanikisha nini au lipi? Kuwakusanya kina mama na hakuna alichowasaidia?! Kutibua familia za watu??!!
 
Leaders hawajikwezi wala kupandisha mabega.
Ukiona tofauti jua ni aidha akili ndogo au kichwa nazi tu kama wengine. Hivyo anafaa kuwaongoza wasiostaarabika au mafisi maji!
 
kwanza mwizi na alitaka kukwepa kodi , alivamia kituo cha radio kwa kutumia askari kwa maslahi yake binafsi, hata Magu alimchoka na akamtema, US na intelijensi yao wanamjua kuliko wewe unayemtaka na ndio maana akawa ban kuingia US, legend mtaani inasema anahusika na michezo michafu ila hiyo nawaachia wanaojua ukweli mimi sijui
 
We nitajie kiongozi ambae hans kasoro
Acha kunajichanganya basi. Kwanza amefoji vyeti vya kidato cha nne! Hizo sifa za kuwa kiongozi bora atazipata wapi? Na wakati anatumia jina la mtu mwingine?

Yeye jina lake siyo Daudi Albert Bashite?
 
I do remember Paul Makonda wa awamu ya nne, akiwa UVCCM na badae DC-Kinondoni na Mjumbe wa Bunge la Katiba, alikuwa promising young politician wa taifa letu.

Lakini ilipoingia awamu ya tano, sijui alilishwa nini huyu kijana, sijui km ni u-RC ndio ulimlewesha, sijui allitaka kucopy style ya uongozi ya mteuzi wake, he was a different Makonda from that we used to know. Majority ya WanaDaresalaam walimchukia kutokana na kupenda sifa na kutojali maoni ya wananchi.

Alikuja na campaingn kadha wa kadha zisizo na kichwa wala miguu, alidharau viongozi wenzake kisa tu yeye alikuwa karibu sana na mteuzi kuliko wenzie lakini mwisho wa siku mteuzi wake na yeye akamuona hana maana na akaachana nae.

Leo jina lake lililokuwa halikosekani kwenye vyombo vya habari kila siku halisikiki tena, kifupi ndugu yangu hayupo tena kwenye ramani za siasa nchini. Atafanya juhudi za kurudi tu no matter what but endapo atarudi kwenye ramani za siasa nchini mwambieni awe Makonda wa Awamu ya nne sio yule wa awamu ya tano

Kazi iendelee.
Mchukue akawaongoze kwenye familia yenu. Kiongozi jina likisikika kwenye vyombo vya habari ndiyo mzur? Kweli wajinga hawaishi
 
Nakuelewa sana but kosa sio kosa ila kurudia kosa ndio kosa
Unajisahaulisha makusudi au? Rejea moja ya hotuba za Mwl. Nyerere kuhusu ukaburu na alisema kuwa, " kaburi ni kaburi tu"! Na mtu akishaonja nyama ya binadamu hatoacha kuisaka ili aile Tena na Tena!
Makonda alishaharibu kwa mengi na hafai kuwa kiuongozi wa umma! Unajua elimu yake Ina utata kwa maana ya vyeti vinavyoitambulisha ni feki! Hili ni kosa la jinsi na alitakiwa ashitakiwe kwa jinai hiyo but alilindwa na mteuaji huku akiwatumbua waliofanana naye! Double standard huh!
 
I do remember Paul Makonda wa awamu ya nne, akiwa UVCCM na badae DC-Kinondoni na Mjumbe wa Bunge la Katiba, alikuwa promising young politician wa taifa letu.

Lakini ilipoingia awamu ya tano, sijui alilishwa nini huyu kijana, sijui km ni u-RC ndio ulimlewesha, sijui allitaka kucopy style ya uongozi ya mteuzi wake, he was a different Makonda from that we used to know. Majority ya WanaDaresalaam walimchukia kutokana na kupenda sifa na kutojali maoni ya wananchi.

Alikuja na campaingn kadha wa kadha zisizo na kichwa wala miguu, alidharau viongozi wenzake kisa tu yeye alikuwa karibu sana na mteuzi kuliko wenzie lakini mwisho wa siku mteuzi wake na yeye akamuona hana maana na akaachana nae.

Leo jina lake lililokuwa halikosekani kwenye vyombo vya habari kila siku halisikiki tena, kifupi ndugu yangu hayupo tena kwenye ramani za siasa nchini. Atafanya juhudi za kurudi tu no matter what but endapo atarudi kwenye ramani za siasa nchini mwambieni awe Makonda wa Awamu ya nne sio yule wa awamu ya tano

Kazi iendelee.

Hakuna good leader anayependa kujipendekeza na kujipandisha. Mpaka hapo utaona sio good leader wala hafai kuwa leader achilia mbali "good leader"!
 
I do remember Paul Makonda wa awamu ya nne, akiwa UVCCM na badae DC-Kinondoni na Mjumbe wa Bunge la Katiba, alikuwa promising young politician wa taifa letu.

Lakini ilipoingia awamu ya tano, sijui alilishwa nini huyu kijana, sijui km ni u-RC ndio ulimlewesha, sijui allitaka kucopy style ya uongozi ya mteuzi wake, he was a different Makonda from that we used to know. Majority ya WanaDaresalaam walimchukia kutokana na kupenda sifa na kutojali maoni ya wananchi.

Alikuja na campaingn kadha wa kadha zisizo na kichwa wala miguu, alidharau viongozi wenzake kisa tu yeye alikuwa karibu sana na mteuzi kuliko wenzie lakini mwisho wa siku mteuzi wake na yeye akamuona hana maana na akaachana nae.

Leo jina lake lililokuwa halikosekani kwenye vyombo vya habari kila siku halisikiki tena, kifupi ndugu yangu hayupo tena kwenye ramani za siasa nchini. Atafanya juhudi za kurudi tu no matter what but endapo atarudi kwenye ramani za siasa nchini mwambieni awe Makonda wa Awamu ya nne sio yule wa awamu ya tano

Kazi iendelee.
Matatizo ya siasa zaAfrika watu wanaangalia sana watu badala ya kuangalia sera na mifumo.

Makonda alikosa maandalizi, alikosa elimu ya kisiasa, kwa sababu CCM, kama alivyosema Horace Kolimba, haina dira wala muelekeo.

Ndiyo maana viongozi mpaka wanaopewa urais kama Magufuli hawajapata elimu ya siasa, wanaongoza ovyo.

Sasa wewe kuanzia heading yako tu una contradiction.

Kwa sababu, kupenda sifa na kujipandisha si sifa za kiongozi mzuri.

Sasa utasemaje Makonda ni kiongozi mzuri ila anapenda sifa na anajipandisha tu?
 
Makonda anafaa kujiunga MISIFAZ CAMP kule kwa kina DULLY SYKES AU SHAROBALO REKODI KWA KINA BOB JUNIOR
 
I do remember Paul Makonda wa awamu ya nne, akiwa UVCCM na badae DC-Kinondoni na Mjumbe wa Bunge la Katiba, alikuwa promising young politician wa taifa letu.

Lakini ilipoingia awamu ya tano, sijui alilishwa nini huyu kijana, sijui km ni u-RC ndio ulimlewesha, sijui allitaka kucopy style ya uongozi ya mteuzi wake, he was a different Makonda from that we used to know. Majority ya WanaDaresalaam walimchukia kutokana na kupenda sifa na kutojali maoni ya wananchi.

Alikuja na campaingn kadha wa kadha zisizo na kichwa wala miguu, alidharau viongozi wenzake kisa tu yeye alikuwa karibu sana na mteuzi kuliko wenzie lakini mwisho wa siku mteuzi wake na yeye akamuona hana maana na akaachana nae.

Leo jina lake lililokuwa halikosekani kwenye vyombo vya habari kila siku halisikiki tena, kifupi ndugu yangu hayupo tena kwenye ramani za siasa nchini. Atafanya juhudi za kurudi tu no matter what but endapo atarudi kwenye ramani za siasa nchini mwambieni awe Makonda wa Awamu ya nne sio yule wa awamu ya tano

Kazi iendelee.

Hakuna sababu ya kuwa na viongozi wenye “lakini” kuna wengine wazuri
 
I do remember Paul Makonda wa awamu ya nne, akiwa UVCCM na badae DC-Kinondoni na Mjumbe wa Bunge la Katiba, alikuwa promising young politician wa taifa letu.

Lakini ilipoingia awamu ya tano, sijui alilishwa nini huyu kijana, sijui km ni u-RC ndio ulimlewesha, sijui allitaka kucopy style ya uongozi ya mteuzi wake, he was a different Makonda from that we used to know. Majority ya WanaDaresalaam walimchukia kutokana na kupenda sifa na kutojali maoni ya wananchi.

Alikuja na campaingn kadha wa kadha zisizo na kichwa wala miguu, alidharau viongozi wenzake kisa tu yeye alikuwa karibu sana na mteuzi kuliko wenzie lakini mwisho wa siku mteuzi wake na yeye akamuona hana maana na akaachana nae.

Leo jina lake lililokuwa halikosekani kwenye vyombo vya habari kila siku halisikiki tena, kifupi ndugu yangu hayupo tena kwenye ramani za siasa nchini. Atafanya juhudi za kurudi tu no matter what but endapo atarudi kwenye ramani za siasa nchini mwambieni awe Makonda wa Awamu ya nne sio yule wa awamu ya tano

Kazi iendelee.
Wewe umerogwa siyo bure
 
Makondo mi namkubali mnooooo!
Ni bonge la kiongoziiiii!
Yuko tayari kujotoa kwa kile anachokiamini!

Kwa yeyote aliyependa uongozi wa kiongozi wetu hayati Magufuli atakubaliana na Mimi.
Paul Makonda anafaa kua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Naamini ukiwa Rais utainyoosha hii nchi!

Wapinzani ( mashetani) kama yule lusifa aliye mpinga Kristo ndiye anaweza kupinga ukweli huu!

Makonda unaweza kunyoosha nchi hii bila kuangalia risk ya maisha yako kama JPM. Mashetani ( Wapinzani) rejeeni sakata la madawa ya kulevya.

Nakukubali Makonda. Utaongoza nchi hii!

Karibuni mashetani mliompinga Kristo ( Wapinzani) kutoa matus na kupinga ukweli na uhalisia maana ndio kazi ya rusfa aliyefungwa minyororo kuzimuni.

Pepo la kuzimu ( mpinzani) jitokeze!
 
Back
Top Bottom