Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,264
Dingi kashasanda
machale kun'desa
Dingi kashasanda
Lile tukio la Uwanja wa Taifa bila shaka limewashitua sana.Waendelee tu kupuuza maoni ya watu watavuna wanachopanda sasa wakati ukifika.It is the best option he has na ameshaanza unajua keshaanza kujiona mjinga maana anona kabisa kila ana deal na watu badala ya mambo muhimu. Ma kilichotekea Taifa pia kime mu alert. Hata jinsi waandishi wa habari walishikamana na Nape pia imemtisha sana. Kwakua anasoma mitandaoni pia anaona maswali ya.msingi ambayo tunajiuliza kuhusu utwala wake.
Noted Mekumachale kun'desa
Kosa sio lake, kosa ni auto correction kwenye keypad.Jion = Join
Na iwe hivyo
Tulia akina Ngosha tukunyooshe wewe.Ukabila haulipi!
This works either ways if he can't beat us he will join us, but if we can't beat him na Bashite wake, then it's we who will join him.Wazungu wanasema:
"If you can't beat them,join them"
Soon he will join us.
Machozi ya mamba hayo!BASHITE anatia huruma amekuwa mtu wa kulia tu
Kifuani kwa baba mchungajiAnalilia wapi?
Mkuu mimi naendelea kuisikiliza tangu nilipotumiwa na rafiki yangu toka England .Leo Bashite ataenda kumlilia Dady kwa nini ameruhusu hii nyimbo ya Nay wa Mitego isikilizwe.
DAY DREAMER ! KEEP ON DREAMING.Upepo unavuma vibaya dhidi ya mkulu kuhusiana na uongozi wake and perhaps he is the most unhappy citizen so far.
Hata Lissu alipokuwa anaohijiwa katika kitu kimoja siku chache zilizopita alisema wazi kabisa mh.anaonekana hana raha /amechoka.
Katika huu ulimwengu wa mitando ni bigumu sana ku-controll hisia za watu na hivi sasa watu wengi wanapata habari kupitia mitandao kuliko hata vyombo rasimi vya habari kwahiyo mtu makini hawezi kupuunza maoni ya watu mitandaoni.
Kwa taarifa tu ni kuwa hivi sasa Tanzania ina watu wanaotumia simu za mikononi wanaofikia milioni 40 kwa mujibu wa taarifa ya TCRA iliyotolewa jana na habari hiyo kuripotiwa katika gazeti la Nipashe la siku ya leo.
Soma habari hiyo kupitia hii link hapa chini:
TCRA: Watumiaji wa simu nchini wafikia milioni 40
Nawaabieni Bashite hatadumu ofisini.
Mkulu sasa kashituka na kaamua kujiongeza.
Wazungu wanasema:
"If you can't beat them,join them"
Soon he will join us.