Makonda hawezi kudumu lazima aondolewe tu

Makonda hawezi kudumu lazima aondolewe tu

Akimtumbua Bashite ukweli sitafikiria kwasababu ya hi mitandao, nafsi itakua inamsuta kuhusu Nape, uwepo wa yeye pale jumba jeupe ni jitihada za Nape, ukiorodhesha wana ccm walau 5 waliibadiri sana ccm then majina ya Nape na Kinana yatakua juu but hata ukiweka majina ya wana ccm 100 walioifanya ipigiwe walau KURA laki moja nina hakika jina la Makonda halitakuwepo, na hi si kwasababu tunamchukia au laa, hakua na mchango wowote zaidi ya kuifanya ccm igawanyike vipande.
 
Upepo unavuma vibaya dhidi ya mkulu kuhusiana na uongozi wake and perhaps he is the most unhappy citizen so far.

Hata Lissu alipokuwa anaohijiwa katika kitu kimoja siku chache zilizopita alisema wazi kabisa mh.anaonekana hana raha /amechoka.

Katika huu ulimwengu wa mitando ni bigumu sana ku-controll hisia za watu na hivi sasa watu wengi wanapata habari kupitia mitandao kuliko hata vyombo rasimi vya habari kwahiyo mtu makini hawezi kupuunza maoni ya watu mitandaoni.

Kwa taarifa tu ni kuwa hivi sasa Tanzania ina watu wanaotumia simu za mikononi wanaofikia milioni 40 kwa mujibu wa taarifa ya TCRA iliyotolewa jana na habari hiyo kuripotiwa katika gazeti la Nipashe la siku ya leo.

Soma habari hiyo kupitia hii link hapa chini:

TCRA: Watumiaji wa simu nchini wafikia milioni 40

Nawaabieni Bashite hatadumu ofisini.

Mkulu sasa kashituka na kaamua kujiongeza.

Wazungu wanasema:

"If you can't beat them,join them"

Soon he will join us.

Nape alifuata akili zenu sasa amesalia katika ubunge tu. Mbowe atashikilia akili zenu nyie vijana mpaka lini?
 
Una tatizo la kufikiri jisogeze hospitali kwa matibabu. Unavyoamini habari ya mitandaoni na waandishi 'hewa' (ID fake) unadhani na Rais naye anatawala kwa mitandao!

Huyo dogo akili yake haiko sawa. Kila siku anajaribu kupambana na utawala wa Magufuli kupitia maandiko yake humu. Mpaka leo hajaamini kuwa fisadi lao liliangukia pua October, 2015
 
No wonder ameruhusu wimbo WAPO wa Ney wa Mitego unaomtaja Daudi Bashite kutokuwa na vyeti uendelee kusikilizwa! Bashite kwishnei!
 
Upepo unavuma vibaya dhidi ya mkulu kuhusiana na uongozi wake and perhaps he is the most unhappy citizen so far.

Hata Lissu alipokuwa anaohijiwa katika kitu kimoja siku chache zilizopita alisema wazi kabisa mh.anaonekana hana raha /amechoka.

Katika huu ulimwengu wa mitando ni bigumu sana ku-controll hisia za watu na hivi sasa watu wengi wanapata habari kupitia mitandao kuliko hata vyombo rasimi vya habari kwahiyo mtu makini hawezi kupuunza maoni ya watu mitandaoni.

Kwa taarifa tu ni kuwa hivi sasa Tanzania ina watu wanaotumia simu za mikononi wanaofikia milioni 40 kwa mujibu wa taarifa ya TCRA iliyotolewa jana na habari hiyo kuripotiwa katika gazeti la Nipashe la siku ya leo.

Soma habari hiyo kupitia hii link hapa chini:

TCRA: Watumiaji wa simu nchini wafikia milioni 40

Nawaabieni Bashite hatadumu ofisini.

Mkulu sasa kashituka na kaamua kujiongeza.

Wazungu wanasema:

"If you can't beat them,join them"

Soon he will join us.
Pamoja na kutotaka kujiingiza katika mjadala wa Bashite, naomba tuwe waangalifu na hizi takwimu. Kwa hapa Tanzania asilimia 35 ni watoto chini ya miaka 10 ambao ni million 18. Hivyo miaka 10 na zaidi ni Million 32. Hivyo million 40 zinahusisha watoto chini ya miaka 10. hatari
 
Ameshaana kurudi,si unaona kasha ufyata kwa Ney!?
Mhe Rais ni jembe,isipokuwa madhaifu ya hapa na pale!
Aache kukumbatia uzembe kama huu wa Makonda!
Na kama sasa alivyoiua kiki ya Ney,kwa kukubali "kuikumbatia miimba ya nyuki wa wimbo wa WAPO"!
Ifike kipindi ajiongeze!
Atufungulie bunge letu,ili mambo yaende!
Mkuu siyo kuwa namchombeza Mhe.Ili a release Bunge live, lakini naapa endapo tutarudishiwa bunge "live" i will forgive & forget everything....including "The great kolomije story"
 
Ameshaana kurudi,si unaona kasha ufyata kwa Ney!?
Mhe Rais ni jembe,isipokuwa madhaifu ya hapa na pale!
Aache kukumbatia uzembe kama huu wa Makonda!
Na kama sasa alivyoiua kiki ya Ney,kwa kukubali "kuikumbatia miimba ya nyuki wa wimbo wa WAPO"!
Ifike kipindi ajiongeze!
Atufungulie bunge letu,ili mambo yaende!
Kwa hili la Ney , nampa heko mheshimiwa Rais Magufuli. Btw alitakiwa aanze mapema kutokubana mambo.
 
Upepo unavuma vibaya dhidi ya mkulu kuhusiana na uongozi wake and perhaps he is the most unhappy citizen so far.

Hata Lissu alipokuwa anaohijiwa katika kitu kimoja siku chache zilizopita alisema wazi kabisa mh.anaonekana hana raha /amechoka.

Katika huu ulimwengu wa mitando ni bigumu sana ku-controll hisia za watu na hivi sasa watu wengi wanapata habari kupitia mitandao kuliko hata vyombo rasimi vya habari kwahiyo mtu makini hawezi kupuunza maoni ya watu mitandaoni.

Kwa taarifa tu ni kuwa hivi sasa Tanzania ina watu wanaotumia simu za mikononi wanaofikia milioni 40 kwa mujibu wa taarifa ya TCRA iliyotolewa jana na habari hiyo kuripotiwa katika gazeti la Nipashe la siku ya leo.

Soma habari hiyo kupitia hii link hapa chini:

TCRA: Watumiaji wa simu nchini wafikia milioni 40

Nawaabieni Bashite hatadumu ofisini.

Mkulu sasa kashituka na kaamua kujiongeza.

Wazungu wanasema:

"If you can't beat them,join them"

Soon he will join us.
kayatafuta mwenyewe haya, sasa ni namna ya kuishi baada ya kutumbuliwa, maadui kila kona, vijiwe vyote ikiwemo kijiwe kikuu CLOUDS tayari ushakata kimba yaani ni harufu tupu. It's hard to swallow.
 
Kitendo cha kumfukuza kazi Nape ili kumlinda mhalifu Makonda kimemdhalilisha sana Rais na kushusha hadhi ya kiti cha rais
 
Upepo unavuma vibaya dhidi ya mkulu kuhusiana na uongozi wake and perhaps he is the most unhappy citizen so far.

Hata Lissu alipokuwa anaohijiwa katika kitu kimoja siku chache zilizopita alisema wazi kabisa mh.anaonekana hana raha /amechoka.

Katika huu ulimwengu wa mitando ni bigumu sana ku-controll hisia za watu na hivi sasa watu wengi wanapata habari kupitia mitandao kuliko hata vyombo rasimi vya habari kwahiyo mtu makini hawezi kupuunza maoni ya watu mitandaoni.

Kwa taarifa tu ni kuwa hivi sasa Tanzania ina watu wanaotumia simu za mikononi wanaofikia milioni 40 kwa mujibu wa taarifa ya TCRA iliyotolewa jana na habari hiyo kuripotiwa katika gazeti la Nipashe la siku ya leo.

Soma habari hiyo kupitia hii link hapa chini:

TCRA: Watumiaji wa simu nchini wafikia milioni 40

Nawaabieni Bashite hatadumu ofisini.

Mkulu sasa kashituka na kaamua kujiongeza.

Wazungu wanasema:

"If you can't beat them,join them"

Soon he will join us.
Acha porojo wewe.Watu wanfanya kazi Rais keshasema Makonda fanya kazi hakuna wa kukutoa na hilo suala limeshapita endelea tu kujifariji ni vizuri kwa afya yako maana unaweza kupata Bipolar disorder kama yule mtoa habari wenu wa mitandaoni
 
Upepo unavuma vibaya dhidi ya mkulu kuhusiana na uongozi wake and perhaps he is the most unhappy citizen so far.

Hata Lissu alipokuwa anaohijiwa katika kitu kimoja siku chache zilizopita alisema wazi kabisa mh.anaonekana hana raha /amechoka.

Katika huu ulimwengu wa mitando ni bigumu sana ku-controll hisia za watu na hivi sasa watu wengi wanapata habari kupitia mitandao kuliko hata vyombo rasimi vya habari kwahiyo mtu makini hawezi kupuunza maoni ya watu mitandaoni.

Kwa taarifa tu ni kuwa hivi sasa Tanzania ina watu wanaotumia simu za mikononi wanaofikia milioni 40 kwa mujibu wa taarifa ya TCRA iliyotolewa jana na habari hiyo kuripotiwa katika gazeti la Nipashe la siku ya leo.

Soma habari hiyo kupitia hii link hapa chini:

TCRA: Watumiaji wa simu nchini wafikia milioni 40

Nawaabieni Bashite hatadumu ofisini.

Mkulu sasa kashituka na kaamua kujiongeza.

Wazungu wanasema:

"If you can't beat them,join them"

Soon he will join us.
Ndoto zipi zinaweza kuwa kweli?
Ndoto za mchana, ndoto za usiku, ndoto za Mwendawazimu.
Kwa hakika huyu aliyepost Mawazo haya kuwa eti Makonda hatadumu, kwa hakika Mawazo ya jinsi hii yanaweza kutolewa na Mwendawazimu pekee, Je Makonda hatadumu "utamuua", je wewe ndiye uliyemteua? Wewe ndiye Mtanzania peke yako? Je Watanzania tunaomkubali Makonda tuko wangapi? Kuonekana watu Mil.40 wanatumia mitandao haimaanishi kila Mtanzania ana access na Simu, kompyuta, labtop, internate n.k. watu wachache huenda mil.chache tu wanatumia account tofauti tofauti, wewe ukachukulia watu mil.40 !!, ni aibu kuamini hivyo.
 
Back
Top Bottom