Makonda hawezi kudumu lazima aondolewe tu

Makonda hawezi kudumu lazima aondolewe tu

bashite na bae wake, watatuelewa tu

double standard wafanyie hukohuko kwenye familia zao, sio kwetu, tena asivyo na aibu eti kaanzisha zoezi la vyeti tena MOI

Anaacha kumuwajibisha aliye chini ya kwapa lake
 
  • Thanks
Reactions: SDG
RedDevil mie ni kada,na ninaomba ULAWA et al tuendeleze mapambano ya kumrudisha JPM kwenye mstari ili aturudishie Bunge letu!
Asante Ney:Umefungua njia!
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Upepo unavuma vibaya dhidi ya mkulu kuhusiana na uongozi wake and perhaps he is the most unhappy citizen so far.

Hata Lissu alipokuwa anaohijiwa katika kitu kimoja siku chache zilizopita alisema wazi kabisa mh.anaonekana hana raha /amechoka.

Katika huu ulimwengu wa mitando ni bigumu sana ku-controll hisia za watu na hivi sasa watu wengi wanapata habari kupitia mitandao kuliko hata vyombo rasimi vya habari kwahiyo mtu makini hawezi kupuunza maoni ya watu mitandaoni.

Kwa taarifa tu ni kuwa hivi sasa Tanzania ina watu wanaotumia simu za mikononi wanaofikia milioni 40 kwa mujibu wa taarifa ya TCRA iliyotolewa jana na habari hiyo kuripotiwa katika gazeti la Nipashe la siku ya leo.

Soma habari hiyo kupitia hii link hapa chini:

TCRA: Watumiaji wa simu nchini wafikia milioni 40

Nawaabieni Bashite hatadumu ofisini.

Mkulu sasa kashituka na kaamua kujiongeza.

Wazungu wanasema:

"If you can't beat them,join them"

Soon he will join us.
Una tatizo la kufikiri jisogeze hospitali kwa matibabu. Unavyoamini habari ya mitandaoni na waandishi 'hewa' (ID fake) unadhani na Rais naye anatawala kwa mitandao!
 
Una tatizo la kufikiri jisogeze hospitali kwa matibabu. Unavyoamini habari ya mitandaoni na waandishi 'hewa' (ID fake) unadhani na Rais naye anatawala kwa mitandao!
Wewe bado unaishi katika zama za mawe.

Pole sana.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Upepo unavuma vibaya dhidi ya mkulu kuhusiana na uongozi wake and perhaps he is the most unhappy citizen so far.

Hata Lissu alipokuwa anaohijiwa katika kitu kimoja siku chache zilizopita alisema wazi kabisa mh.anaonekana hana raha /amechoka.

Katika huu ulimwengu wa mitando ni bigumu sana ku-controll hisia za watu na hivi sasa watu wengi wanapata habari kupitia mitandao kuliko hata vyombo rasimi vya habari kwahiyo mtu makini hawezi kupuunza maoni ya watu mitandaoni.

Kwa taarifa tu ni kuwa hivi sasa Tanzania ina watu wanaotumia simu za mikononi wanaofikia milioni 40 kwa mujibu wa taarifa ya TCRA iliyotolewa jana na habari hiyo kuripotiwa katika gazeti la Nipashe la siku ya leo.

Soma habari hiyo kupitia hii link hapa chini:

TCRA: Watumiaji wa simu nchini wafikia milioni 40

Nawaabieni Bashite hatadumu ofisini.

Mkulu sasa kashituka na kaamua kujiongeza.

Wazungu wanasema:

"If you can't beat them,join them"

Soon he will join us.
It is the best option he has na ameshaanza unajua keshaanza kujiona mjinga maana anona kabisa kila ana deal na watu badala ya mambo muhimu. Ma kilichotekea Taifa pia kime mu alert. Hata jinsi waandishi wa habari walishikamana na Nape pia imemtisha sana. Kwakua anasoma mitandaoni pia anaona maswali ya.msingi ambayo tunajiuliza kuhusu utwala wake.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Upepo unavuma vibaya dhidi ya mkulu kuhusiana na uongozi wake and perhaps he is the most unhappy citizen so far.

Hata Lissu alipokuwa anaohijiwa katika kitu kimoja siku chache zilizopita alisema wazi kabisa mh.anaonekana hana raha /amechoka.

Katika huu ulimwengu wa mitando ni bigumu sana ku-controll hisia za watu na hivi sasa watu wengi wanapata habari kupitia mitandao kuliko hata vyombo rasimi vya habari kwahiyo mtu makini hawezi kupuunza maoni ya watu mitandaoni.

Kwa taarifa tu ni kuwa hivi sasa Tanzania ina watu wanaotumia simu za mikononi wanaofikia milioni 40 kwa mujibu wa taarifa ya TCRA iliyotolewa jana na habari hiyo kuripotiwa katika gazeti la Nipashe la siku ya leo.

Soma habari hiyo kupitia hii link hapa chini:

TCRA: Watumiaji wa simu nchini wafikia milioni 40

Nawaabieni Bashite hatadumu ofisini.

Mkulu sasa kashituka na kaamua kujiongeza.

Wazungu wanasema:

"If you can't beat them,join them"

Soon he will join us.
Zilipendwa hizi, wenzako wako bize na stori ya rais na Ney.
 
Wewe bado unaishi katika zama za mawe.

Pole sana.

Mitandao unadhani ndiyo jawabu la utawala bora! Kama una hoja ya msingi jitokeze wazi. Hujitokezi kwa maana hoja zako nyingi ni za kufikirika na kutukana
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Huyu chalii noma mbaya kamharibia mdingi mbaya, halafu hii issue inamporomoshea hadhi yeye vile vile. Namshauri amwombe mkuu Aache kazi mwenyewe ata gain opportunities nyigine .
 
Mbona kawaida ni sawa na kusema pamoja na Chadema kuondoa Ukomo katika nafasi ya Mwenyekiti, ila Mbowe ataondoka tu siku moja, na kutakua na mwenyekiti mwingine
 
Wanaona haya, kwa hili sakata la ney wa mitego, wanatafuta kick, mbna wasanii wengine waliofungiwa nyimbo zao hawakuambiwa zirekebishwe, walichokifanya ni kuzifungia tu, nchi ishawashinda hii!
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom