Scale
JF-Expert Member
- Apr 6, 2014
- 2,086
- 2,547
Kweli kamzidi mpaka Mwenyekiti wake!Makonda ana huruma sana
Amewajengea Bakwata ghorofa la makao makuu
Amewapa Yanga uwanja kigamboni
Amewalipia watoto zaidi ya 600 bima ya afya
Amewajengea CCM kinondoni ofisi za ghorofa
Amejenga ofisi za walimu Dsm yote
Amewapa Chadema ofisi zilizokuwa za CCM waweze kujisitiri
Hakika hakuna kiongozi wa CCM mwenye upendi kumzidi RC Makonda!
Sent using Jamii Forums mobile app