Makonda anaweza fanya kuamka asubuhi Bashe sio waziri wala mbunge

Bashe ana nguvu gani ya maamuzi ndani ya chama cha CCM juu ya Makonda ?
Bashe ana nguvu ndani ya ccm kupitia Mwenyekiti wao! Waliomuweka Samia hapo alipo ndio waliomwambia Samia ampe Bashe uwaziri!
Makonda anaweza kujikuta nje ya ulingo kwasababu support yake iko kwa Samia tu ambae kiukweli hana wapenzi wengi Tanganyika!
Akimfukuza Bashe kwa sababu ya Makonda , Samia ajue atakuwa. amekalia kuti kavu kwani atakuwa ameukata mkono wake.
 
Chama kina nguvu kuliko serikali makonda ndie boss wa mawaziri na wakuu wa mikoa,wakuu wa vyombo vyote vya ulinzi na wote wanaoteuliwa na raisi,bashe asilete ujuaji labda kama kachoka kula Kodi zetu akicheza atamfata Ally Hapi shambani
Unasema Chama halafu unamuongelea Makonda pekee. Makonda si Chama. Yaani wapambe mnakosa hekima ambayo yeye Makonda anayo. Yeye mwenyewe anasema Chama kimeelekeza hiyo ina maana hata uamuzi wa kumuondoa Bashe ikibidi utakuwa ni wa vikao na sio wa mtu. Makonda amewekwa hapo kupitia maamuzi ya vikao. Heshimuni Taasisi yenye vikao rasmi na katiba. Ingekuwa chama ni mtu kuna wengi wangekuwa hawako CCM kwasababu tu walitofautiana na kina fulani.
 
Nimekuwa mfuatiliaji wa siasa majitaka za kwetu kwa muda mrefu.

Kwa mfumo wetu wa siasa maboss wa chama wana nguvu kubwa kuliko maboss wa kiserikali.

Kuna huku kurushiana maneno baina ya mwenezi na Waziri Bashe sina hakika sana kama ni issue serious sana maana nacho ona ni maigizo na ulaghai wa kisiasa una endelea.

Lakini kama issues ingekuwa serious mwenezi anaweza kumfanya Bashe akalala mbunge na Waziri na akaamka asubuhi hana vyote.

Siasa zetu hupaswi hata kidogo kudharau maboss wa chama ambao serikali ipo chini yao.

Mwenyekiti wa CCM mkoa ana nguvu ndani ya chama kuliko mbunge wa kawaida tu.

Heshima na nguvu katika siasa zetu zinaanzia katika chama na kwenye chama ndipo kuna vita kubwa kuliko sehemu yoyote ile hata Rais Samia mara kadhaa amekuwa akikiri hili kuitawala chama na kikaenda na wewe nchi kuitawala inakuwa kazi nyepesi.

Bashe awe makini na Makonda anaweza kumfanya bungeni arudi au asirudi kabisa labda kama ana support ya mwenyekiti wa chama.

Nawakumbusha tena viongozi wa CCM wana nguvu kuliko viongozi wa kiserikali.

Msimvimbishe kichwa Makonda. Hicho cheo ni kidogo sana. Sana sana kilianza kujulikana wakati wa Nape. Hicho cheo kimepata nguvu wakati wa Polepole kwa sababu ya the Iron Man behind it aka JPM.

Watu bado anatake advantage ya legacy ya Magufuli ya kusujudiwa including Maza mwenyewe.
 
Hii imenikumbusha na kunitafakarisha matukio ya nyuma sana huko uyahudi, wafarisayi wakiulizwa ile dinari ina chapa ya nani? Wakajibu ya Kaisari! basi ufafanuzi ukatolewa kuwa ya kaisari apewe kaisari na Muumba apewe muumba.

Hii pia Ndg. Bashe yaweza tumika kwa busara afuate yaliyohitajika na chama kwani ndicho chenye sera, kwani hata aonapo mapungufu kwa Ndg. Makonda ayachunie kwani ndeye aliyeteuliwa na viongozi wake kusimamia ila i kwa niaba
 
Bashe ana nguvu gani ya maamuzi ndani ya chama cha CCM juu ya Makonda ?
Mkuu mwache tu huyo Dogo kumuuliza mambo makubwa zaidi ya uwezo wake. Nakumbuka mwaka 2015 wakati wa mchakato wa kumtafuta Mgombea Urais kupitia CCM, Kuna watu walidai Lowassa ana nguvu sana ndani y CCM na hakuna wa kumkata!🤣🤣🤣🤣

Mwisho wa siku alikatwa na yeye kuhamia Chadema na baadae kurudi CCM kama ng'ombe aliyekatwa mkia!
 
Msimvimbishe kichwa Makonda. Hicho cheo ni kidogo sana. Sana sana kilianza kujulikana wakati wa Nape. Hicho cheo kimepata nguvu wakati wa Polepole kwa sababu ya the Iron Man behind it aka JPM.

Watu bado anatake advantage ya legacy ya Magufuli ya kusujudiwa including Maza mwenyewe.
Dogo unaijua vizuri CCM au ni wivu wako kwa Makonda?
 
Nimekuwa mfuatiliaji wa siasa majitaka za kwetu kwa muda mrefu.

Kwa mfumo wetu wa siasa maboss wa chama wana nguvu kubwa kuliko maboss wa kiserikali.

Kuna huku kurushiana maneno baina ya mwenezi na Waziri Bashe sina hakika sana kama ni issue serious sana maana nacho ona ni maigizo na ulaghai wa kisiasa una endelea.

Lakini kama issues ingekuwa serious mwenezi anaweza kumfanya Bashe akalala mbunge na Waziri na akaamka asubuhi hana vyote.

Siasa zetu hupaswi hata kidogo kudharau maboss wa chama ambao serikali ipo chini yao.

Mwenyekiti wa CCM mkoa ana nguvu ndani ya chama kuliko mbunge wa kawaida tu.

Heshima na nguvu katika siasa zetu zinaanzia katika chama na kwenye chama ndipo kuna vita kubwa kuliko sehemu yoyote ile hata Rais Samia mara kadhaa amekuwa akikiri hili kuitawala chama na kikaenda na wewe nchi kuitawala inakuwa kazi nyepesi.

Bashe awe makini na Makonda anaweza kumfanya bungeni arudi au asirudi kabisa labda kama ana support ya mwenyekiti wa chama.

Nawakumbusha tena viongozi wa CCM wana nguvu kuliko viongozi wa kiserikali.
TUNAMWOMBA AAMKE TUONE KAMA ANA UWEZO HUU NI UJINGA KUMPA UWEZO ASIONAO

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Chama kina nguvu kuliko serikali makonda ndie boss wa mawaziri na wakuu wa mikoa,wakuu wa vyombo vyote vya ulinzi na wote wanaoteuliwa na raisi,bashe asilete ujuaji labda kama kachoka kula Kodi zetu akicheza atamfata Ally Hapi shambani
Huwa namshangaa sana Bashe, sijui kwanini huwa ana ujuaji mwingi!
 
Unasema Chama halafu unamuongelea Makonda pekee. Makonda si Chama. Yaani wapambe mnakosa hekima ambayo yeye Makonda anayo. Yeye mwenyewe anasema Chama kimeelekeza hiyo ina maana hata uamuzi wa kumuondoa Bashe ikibidi utakuwa ni wa vikao na sio wa mtu. Makonda amewekwa hapo kupitia maamuzi ya vikao. Heshimuni Taasisi yenye vikao rasmi na katiba. Ingekuwa chama ni mtu kuna wengi wangekuwa hawako CCM kwasababu tu walitofautiana na kina fulani.
Siku izi amebadili kauli anasema maelekezo ya chama, ila ukimuuliza hicho chama kimekaa saa? Hawezi kukupa jibu
 
Mnamdogosha sana Bashe. Mnamkuza sana Makonda. Msichojua si kila nguvu ya mtu iko wazi na inahesabika kwa wanaohudhuria mikutano ya hadhara ambao tunajua wanajaaje. Mbele ya umma ukiacha hii ishu ya Sukari Bashe ana heshima yake mbele ya wananchi na hata ndani ya chama ambayo hakutumia nguvu wala ubabe kuipata. Apambane na hili la sukari mengine muda na Muumba wake ndio waamuzi.Kwa ufupi kila mmoja ana umuhimu wake na nafasi yake ina umuhimu kwa CHAMA na SERIKALI. KAZI IENDELEE.
By the way
Bashe nae ni msanii tuu kama Makonda
 
Bashe ana nguvu ndani ya ccm kupitia Mwenyekiti wao! Waliomuweka Samia hapo alipo ndio waliomwambia Samia ampe Bashe uwaziri!
Makonda anaweza kujikuta nje ya ulingo kwasababu support yake iko kwa Samia tu ambae kiukweli hana wapenzi wengi Tanganyika!
Akimfukuza Bashe kwa sababu ya Makonda , Samia ajue atakuwa. amekalia kuti kavu kwani atakuwa ameukata mkono wake.
Watu bado mna mawazo ya enzi hizo za rimoti.......... Rimoti betri zimeisha kaka safu inaanza kupangwa upya bila rimoti
 
Luhaga Mpina kaitwa kuhojiwa na viongozi wa CCM kata au wilaya huko jimboni kwake.😁

Huyo Nape alitumika sana tu akiwa mwenezi kumkaanga Mamvi waziwazi miaka ile kuelekea uchaguzi na kilichotokea tunakijua,itakuwa mbunge Bashe?
 
Nimekuwa mfuatiliaji wa siasa majitaka za kwetu kwa muda mrefu.

Kwa mfumo wetu wa siasa maboss wa chama wana nguvu kubwa kuliko maboss wa kiserikali.

Kuna huku kurushiana maneno baina ya mwenezi na Waziri Bashe sina hakika sana kama ni issue serious sana maana nacho ona ni maigizo na ulaghai wa kisiasa una endelea.

Lakini kama issues ingekuwa serious mwenezi anaweza kumfanya Bashe akalala mbunge na Waziri na akaamka asubuhi hana vyote.

Siasa zetu hupaswi hata kidogo kudharau maboss wa chama ambao serikali ipo chini yao.

Mwenyekiti wa CCM mkoa ana nguvu ndani ya chama kuliko mbunge wa kawaida tu.

Heshima na nguvu katika siasa zetu zinaanzia katika chama na kwenye chama ndipo kuna vita kubwa kuliko sehemu yoyote ile hata Rais Samia mara kadhaa amekuwa akikiri hili kuitawala chama na kikaenda na wewe nchi kuitawala inakuwa kazi nyepesi.

Bashe awe makini na Makonda anaweza kumfanya bungeni arudi au asirudi kabisa labda kama ana support ya mwenyekiti wa chama.

Nawakumbusha tena viongozi wa CCM wana nguvu kuliko viongozi wa kiserikali.

Makonda amewasha sababisha waziri gani akaondoka kwenye nafasi yake mpaka sasa?
Hawezi bado sana
 
Chama kina nguvu kuliko serikali makonda ndie boss wa mawaziri na wakuu wa mikoa,wakuu wa vyombo vyote vya ulinzi na wote wanaoteuliwa na raisi,bashe asilete ujuaji labda kama kachoka kula Kodi zetu akicheza atamfata Ally Hapi shambani

Makonda si bosi ya mawaziri, wote uliowataja wana report kwa rais, makonda si rais. Na wana uwezo wa kumgomea ku report na asifanye chochote. Hana nguvu kisheria
 
Nimekuwa mfuatiliaji wa siasa majitaka za kwetu kwa muda mrefu.

Kwa mfumo wetu wa siasa maboss wa chama wana nguvu kubwa kuliko maboss wa kiserikali.

Kuna huku kurushiana maneno baina ya mwenezi na Waziri Bashe sina hakika sana kama ni issue serious sana maana nacho ona ni maigizo na ulaghai wa kisiasa una endelea.

Lakini kama issues ingekuwa serious mwenezi anaweza kumfanya Bashe akalala mbunge na Waziri na akaamka asubuhi hana vyote.

Siasa zetu hupaswi hata kidogo kudharau maboss wa chama ambao serikali ipo chini yao.

Mwenyekiti wa CCM mkoa ana nguvu ndani ya chama kuliko mbunge wa kawaida tu.

Heshima na nguvu katika siasa zetu zinaanzia katika chama na kwenye chama ndipo kuna vita kubwa kuliko sehemu yoyote ile hata Rais Samia mara kadhaa amekuwa akikiri hili kuitawala chama na kikaenda na wewe nchi kuitawala inakuwa kazi nyepesi.

Bashe awe makini na Makonda anaweza kumfanya bungeni arudi au asirudi kabisa labda kama ana support ya mwenyekiti wa chama.

Nawakumbusha tena viongozi wa CCM wana nguvu kuliko viongozi wa kiserikali.
Mnataka kusema Bashe si Mtanzania?
 
Nimekuwa mfuatiliaji wa siasa majitaka za kwetu kwa muda mrefu.

Kwa mfumo wetu wa siasa maboss wa chama wana nguvu kubwa kuliko maboss wa kiserikali.

Kuna huku kurushiana maneno baina ya mwenezi na Waziri Bashe sina hakika sana kama ni issue serious sana maana nacho ona ni maigizo na ulaghai wa kisiasa una endelea.

Lakini kama issues ingekuwa serious mwenezi anaweza kumfanya Bashe akalala mbunge na Waziri na akaamka asubuhi hana vyote.

Siasa zetu hupaswi hata kidogo kudharau maboss wa chama ambao serikali ipo chini yao.

Mwenyekiti wa CCM mkoa ana nguvu ndani ya chama kuliko mbunge wa kawaida tu.

Heshima na nguvu katika siasa zetu zinaanzia katika chama na kwenye chama ndipo kuna vita kubwa kuliko sehemu yoyote ile hata Rais Samia mara kadhaa amekuwa akikiri hili kuitawala chama na kikaenda na wewe nchi kuitawala inakuwa kazi nyepesi.

Bashe awe makini na Makonda anaweza kumfanya bungeni arudi au asirudi kabisa labda kama ana support ya mwenyekiti wa chama.

Nawakumbusha tena viongozi wa CCM wana nguvu kuliko viongozi wa kiserikali.

View: https://www.instagram.com/reel/C2u79hTq6bB/?igsh=bXpwbTlsNnF5bGNm
 
Dogo unaijua vizuri CCM au ni wivu wako kwa Makonda?
Kwanza mimi siyo dogo. Wakati tunaianzisha JF ulikuwa bado Kinder.

Makonda siyo kiongozi ni mbangaizaji tu. Simuonei wivu bali naionea huruma Tanzania kuwa na viongozi kama hawa na kuwa na supporters kama wewe.
 
Back
Top Bottom