Bashe ana nguvu ndani ya ccm kupitia Mwenyekiti wao! Waliomuweka Samia hapo alipo ndio waliomwambia Samia ampe Bashe uwaziri!Bashe ana nguvu gani ya maamuzi ndani ya chama cha CCM juu ya Makonda ?
Makonda anaweza kujikuta nje ya ulingo kwasababu support yake iko kwa Samia tu ambae kiukweli hana wapenzi wengi Tanganyika!
Akimfukuza Bashe kwa sababu ya Makonda , Samia ajue atakuwa. amekalia kuti kavu kwani atakuwa ameukata mkono wake.