Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,972
- 22,922
Ilikuwaje hadi ukahudhuria katika kusanyiko la huyo mhuni 😂Ni kweli jipya hana, jana nilikuwa ksenye mkutano wake mbeya
Ilikuwaje hadi ukahudhuria katika kusanyiko la huyo mhuni 😂Ni kweli jipya hana, jana nilikuwa ksenye mkutano wake mbeya
Kwa Makonda nakataa kabisa hakuna anayelazimishwa ila kwa Dkt Samia kila alipofanya ziara nakiri kabisa watendaji wa eneo/mkoa husika basi hukusanya watumishi wote tena wanawafungia bila hata maji na mwisho wa siku watu wanakasirika sana. Makonda ni anakubalika!Na huu ujinga ndio mnajiaminisha Sukuma gang, matokeo yake kwenye hizi ziara za hadaa za muhalifu Makonda inatumika nguvu kubwa ya Dola kukusanya watu kuanzia watumishi wa umma nk. Raslimali za umma zinatumika kwa nguvu Ili kufanikisha ziara ya hadaa za chama. Na mlivyo wajinga mnaamini watu wanahadaika na hizo nyomi za kutengenezwa.
Kwa Makonda nakataa kabisa hakuna anayelazimishwa ila kwa Dkt Samia kila alipofanya ziara nakiri kabisa watendaji wa eneo/mkoa husika basi hukusanya watumishi wote tena wanawafungia bila hata maji na mwisho wa siku watu wanakasirika sana. Makonda ni anakubalika!
Magari hayana shida wale ni viongozi walielekezwa kuhakikisha mwenezi anapokuwa eneo husika basi viongozi wa CCM wawepo. Ninachosema ni ile mfano Dkt Samia akija Uhuru hapa Dar basi walimu wote wanakaripiwa lazima kwenda mkutanoni, Makonda hana hiyoSikuambii hivyo kwa kubahatisha, Bali nakuambia na ushahidi juu. Twende parahisi kabisa, hizo ni ziara za chama, magari ya serekali ni ya Nini? Tena 95% ni magari ya serekali na sio ya chama. Hapo unapata picha gani?
Unaandika pumba ukiwa unajiamini kabsa.Hii ya kwamba fulani anapendwa sana ila mitandaoni ndio hapendwi ilikuwa sana wakati wa Magufuli. Ikasemekana Magufuli anapendwa sana, lakini tuliishia kuona uchaguzi wa kishenzi sana Ili yapatikane matokeo yatakayoendana na alichoaminishwa au alichoamini Magufuli. Kama kweli Makonda anapendwa, tume ya uchaguzi iwe huru kisha matokeo halali yatangazwe ukweli ufahamike. Sio mlete picha ya sijui mtaani, halafu Bado mnalazimisha tume iwe chini ya mwenyekiti wa ccm, na uchagu mwingine wa wazi Ili kutoa matokeo yasiyoendana na uhalisia.
Mwache arukeruke tu kama popcorn mwisho wa siku atajaa kwenye mfumo
Magari hayana shida wale ni viongozi walielekezwa kuhakikisha mwenezi anapokuwa eneo husika basi viongozi wa CCM wawepo. Ninachosema ni ile mfano Dkt Samia akija Uhuru hapa Dar basi walimu wote wanakaripiwa lazima kwenda mkutanoni, Makonda hana hiyo
Wewe unayepinga juhudi za Daudi Basie ni wale walioshiba kwa wizi au MsomaliHao wanao kusanyika kumsikiliza huyo Daudi ni mazwazwa tu alioharibiwa akili na CCM.
Hana jipya ila anaendeleza maigizo ya wala nchi
Ila hapo Makonda nimemwelewa sana
ALipokuwa mkuu wa mkoa wa Dsm alimaliza matatizo ya Dsm? Yule anatafuta cheap popularity atamaliza ziara matatizo yako palepaleSo my question is? Kwann watu wanakusanyika anapokuwa Makonda?
Maana yake,anachokifanya Makonda wangekuwa wameshafanya ma DC, RC, wakurugenzi, mawaziri, manaibu waziri, jero nyingi zingekuwa zimeshasikilizwa!
Makonda ni wakwanza kufanya hivyo? Hapana! Si wa kwanza? Kwanini ghafla watumishi waliacha kusikiliza kero za watanzania Kwa kuingia field je walikatazwa? Noo big nooo
Tayari yake ni nini? Kiwango cha uwajibikaji,utu na kubeba matatizo yetu kama ya kwao ni hakuna kabisa!!
Atapendwa? Big Yes and big No! Justification on this? Atapendwa na matabaka mawili, tabaka la chini na tabaka la kati, lile tabaka analoligusa hawaezi kupenda anachokifanya na wapo tayari kukwamisha jitihada hizi Kwa gharama ya mauti na magonjwa!
Mwisho, Watanzania hawana haja na ofisi kama hazishughuliki na matatizo yao, anayeweza kusimama akashughulika na kero zao,hapohapo ndipo ofisi ilipo.
Kiu ya watanzania ni nini? Kupitia ziara hizo za Makonda? Mosi watanzania wanakosa haki zao za msingi pili Watanzania wanapenda sana viongozi kuingia field kutatua matatizo yetu tatu ambayo ni ya kwanza, Watanzania wanaweza kuonekana wamenyamaza kumbe mioyo yao inabubujikwa na machozi kama wakidharaulika.
Paul C. Makonda anageuka super sub inayotoa matokeo, huu mfupa sio mlaini ndio maana katika kipindi cha miaka 3, wenezi 3 wametafitwa katika nyakati tofauti tofauti.
Mungu anatukuzwa sana kupitia Paul Makonda, unakata kiu za Watanzania.
With thanks. Veronica France, fb on 5th feb 2024. Copy
Hao unaowaita mazwazwa ndio wapo wengi nchini ndio wapija kura wenyewe sasa mbona mnaposhindwa kwenye uchaguzi mnalalamika mmeonewa? Hivi ChawaWaMama hivi unawaelewa wenzako hawaHao wanao kusanyika kumsikiliza huyo Daudi ni mazwazwa tu alioharibiwa akili na CCM.
Hana jipya ila anaendeleza maigizo ya wala nchi
Kama CCM hawana jipya pamoja na Makonda kwanini mikutano yao inajaza watu wengi na hotuba zake nyingi za Makonda zinatrend mno mitandaoni na inaibua mijadala?Makonda Hana Jipya Zaidi Yakuwahadaa Wananchi.
CCM haina Jipyq Lakuwafanyia Wananchi zaidi Yakutuma Mtu Wakuigiza Kama Makonda.
Kuna Siku Nimemsikia Makonda Akiwaambia Wananchi Rais Amesikia Kilio Cha MADEREVA wa Transit ,Hawana Uwezo Wakukata Passport Kubwa Kwahiyo Atawasaidia Kulipia Hizo Passport.
Hivi Kweli kilio Cha MADEREVA wa Transit Ni Kushindwa Kukata Passport??
Kwa mujibu wa Chadema wanasema CCM inasapotiwa na watu wenye elimu ndogo sasa najiuliza kama CCM inasapotiwa na watu wenye elimu ndogo ambao ndio wapo wengi nchini kwanini wanaposhindwa uchaguzi wanalalamika wanaibiwa kura? Hili swali imekuwa sijibiwi au ndugu yangu ChawaWaMama unamajibu sahihi yakuwasaidiaSawa sisi tulio wengi ni mazwazwa!!
Ninyi wachache wenye akili endeleeni kuandamana huku Ruzuku zinajenga mahekalu ya Mbowe!! Mna akili nyingi mnoo
🤣🤣🤣🤣🤣Ilikuwaje hadi ukahudhuria katika kusanyiko la huyo mhuni 😂
Kwanza hicho chama hakipo kilishakufa kimebaki kikundi cha magaidi. Na hao waliobaki kwenye hicho kikundi hawa akili.Kwa mujibu wa Chadema wanasema CCM inasapotiwa na watu wenye elimu ndogo sasa najiuliza kama CCM inasapotiwa na watu wenye elimu ndogo ambao ndio wapo wengi nchini kwanini wanaposhindwa uchaguzi wanalalamika wanaibiwa kura? Hili swali imekuwa sijibiwi au ndugu yangu ChawaWaMama unamajibu sahihi yakuwasaidia
😂😂😂😂Kwanza hicho chama hakipo kilishakufa kimebaki kikundi cha magaidi. Na hao waliobaki kwenye hicho kikundi hawa akili.
Toka tumepata uhuru ni huduma gani ya kijamii ambayo kweli tutajisifu tumefanikiwa kwa 70%.Umeme ni technical kwa hiyoo suala liko jikoni linatatuliwaa. Halafu kumbuka hakuna nchi wala taifa lolote lililomalizachangamoto za wananchi.
Una uhakika hao mazwazwa huwa wanapiga kura ya ndiyo?Hao unaowaita mazwazwa ndio wapo wengi nchini ndio wapija kura wenyewe sasa mbona mnaposhindwa kwenye uchaguzi mnalalamika mmeonewa? Hivi ChawaWaMama hivi unawaelewa wenzako hawa
Huu mtandao unaotumiaToka tumepata uhuru ni huduma gani ya kijamii ambayo kweli tutajisifu tumefanikiwa kwa 70%.
Maana watawala wetu maisha wanayoishi na kujihudumia ni 100% wamefanikiwa.
Sisi tuna matatizo sugu sio changamoto.
Sawa sisi tulio wengi ni mazwazwa!!
Ninyi wachache wenye akili endeleeni kuandamana huku Ruzuku zinajenga mahekalu ya Mbowe!! Mna akili nyingi mnoo