Kama wanajua hawajashinda na wakashangaa basi wana matatizo kama yule samaki kamba kochi.Wangekuwa na msimamo wangekataa hayo matokeo "wanayoshangaa" bila hivyo ni ngumi za kupiga kivuli hakuna anayewachukulia serious.Umewahi kuona wapinzaniwanasema haki imetendeka? Wapinzani hushangaa wakitangazwa washindi. Na ushahidi wa chaguzi kuchezewa uko wazi peupe.