chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,001
- 20,660
Tusaidiane jamani
Timu ya taifa imechukiwa ghafla
Kuna haja ya kiongozi wa kitaifa kusafisha hali ya upepo
Maana sasa kuna Timu ya Taifa ya CCM na ya CDM, na ya wasio na vyama,timu ya Taifa imemeguka vipande
Namuona ndugai akichekea chini ya meza
Timu ya taifa imechukiwa ghafla
Kuna haja ya kiongozi wa kitaifa kusafisha hali ya upepo
Maana sasa kuna Timu ya Taifa ya CCM na ya CDM, na ya wasio na vyama,timu ya Taifa imemeguka vipande
Namuona ndugai akichekea chini ya meza