Makonda ana hoja asikilizwe

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Aug 1, 2014
2,557
3,002
Katiba ya Tanzania inatamka na kutambua kuwa Rais ndiye mkuu wa nchi, Amiri jeshi mkuu na mtendaji mkuu wa Serikali yeye ni mwenye mamlaka makubwa katika nchi hii anaweza kuwa symbolic leader(queen) kulingana na katiba yetu.

Inasikitisha sana kuona mtu wa kwenye chama chako ambaye pia amekuajiri unamkebehi na kumfanyia dhihaka pamoja na matusi hivi hata kama unajiona wewe ndiyo baba ako,babu au bibi yako amemuweka rais kwenye hicho kiti haimaanishi kumtukana YEYE umeitukana mamlaka aliyopewa na umewatukana watanzania wote.

Hili la Makonda siyo kwamba jamaa karopoka hapana ila toka Rais alipoingia madarakani naye alituma ujumbe wengi wanafikiria kuhusu kina bashiru ila ukweli lipo kundi jengine ambalo lipo against na MAMA hivyo nadhani kuna watu watajifanya kumsema Makonda ila ukweli usemwe jamaa yupo sahihi.

NAWASILISHA.
 
Kiukweli Uhuru wa kuongea tuna utumia vibaya
hautumiki vibaya neno uhuru unatambua maana yake?unatambua maana ya demokrasia?kwenye demokrasia unatakiwa kuvumilia (political torelance) sababu binadamu tumetafautiana wapo ambao njia yao ya kutuma ujumbe mpaka afokee,mwingine aseme kwa upole,mwengine atukane,mwengine afikiriee sana hivyo vyote unatakiwa kukubali.
 
sio hoja tu,

bali pia kijana ana maono ya mbali, nia ya dhati, uwezo na ujasiri wa kipekee sana, si tu wa kusema kwa maneno, bali pia kutenda kwa vitendo 🐒

ana tofauti ndogo sana na Hayati Edward Moringe Sokoine.
Itoshe tu kusema, Makonda ni Sokoine wa nyakati hizi, atafika mbali 🐒
 
Back
Top Bottom