Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 19,034
- 29,914
Uzieako niliouna, makonda kacheza mle mle lakini nani atamfunga paka kengele? Je out of team aliyonayo mhe rais anasikiliza shauri za nje ya mfumo? Maana huo mfumo ndio unamfunga na kuchuja yapi ya kumpelekeaHivi ni lini mtaniheshimisha na hata Kunijengea Mnara wangu GENTAMYCINE hapa JamiiForums? Mna uhakika kuwa sikuwahi Kuanzisha Uzi hapa hapa JamiiFoums tena nikisema na kuna mahala nikayafumba Majina ya hawa hawa waliotajwa jana na Makonda na baadhi ya Intelligent Members hapa wakayajua?
Mna uhakika kabisa hakuna Uzi hapa JamiiForums wa mwaka Juzi au mwaka Jana ambao GENTAMYCINE niliuandika tena kwa kumtaka Mheshimiwa Rais Samia awe makini sana na Watu wanaomzunguka na kumtaka awe nao makini na tena Kimafumbo kabisa na hadi kule Kijiweni Kwao Mbezi Beach wanakokaaga nikawataja?
Nasisitiza tena kubalini tu kuwa kuna Watu wengine hapa duniani hatukubarikiwa tu Akili Kubwa bali tuna Maono pia. Hivi mnadhani GENTAMYCINE kuwa na Signature yangu hii pendwa na Tukuka ya "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Enterainer" nilikurupuka tu? Signature yangu inaelezea Uhalisia wangu.