Makonda aanza kukamata wakusanya madeni (auctioneers) wanaotumwa na mabenki

Bila Benki Kuu na Wizara ya Fedha kuongilia kati, naona mgomo mkubwa unanukia Arusha au Nchi Nzima kutoka kwa mawakala wa mabenki na taasisi za fedha wanaokusanya madeni mara baada ya Makonda kuanza kuwakamata baada ya kutimiza majukumu yao.

Hii itakuwa na athari kubwa kiuchumi kwa kuwa fedha za mabenki, ambazo kimsingi ni za wananchi, zinaweza zisilipwe, kwa kuwa wanaozikusanya wanakamatwa na Mkuu wa Mkoa, hivyo wakopaji watakuwa wanakula bata wakati mabenki yanafilisika.

Baada ya hapo fedha zetu zitakuwa salama katika mabenki?
Kakamata wangapi hadi sasa na uchumi umedorora kwa asilimia ngapi?
 
Bila Benki Kuu na Wizara ya Fedha kuongilia kati, naona mgomo mkubwa unanukia Arusha au Nchi Nzima kutoka kwa mawakala wa mabenki na taasisi za fedha wanaokusanya madeni mara baada ya Makonda kuanza kuwakamata baada ya kutimiza majukumu yao.

Hii itakuwa na athari kubwa kiuchumi kwa kuwa fedha za mabenki, ambazo kimsingi ni za wananchi, zinaweza zisilipwe, kwa kuwa wanaozikusanya wanakamatwa na Mkuu wa Mkoa, hivyo wakopaji watakuwa wanakula bata wakati mabenki yanafilisika.

Baada ya hapo fedha zetu zitakuwa salama katika mabenki?
wewe ni mpumbavu nikikuona nakuweka rokapu
 
Mikopo ina muda maalum wa kulipa, una mkataba wa mwaka mmoja umalize deni, sasa miaka mitatu imepita, unatakiwa rejesho la laki tano kila mwezi, wewe unapeleka elfu ishirini eti unadai bado unarejesha
Awali sikuwa najua kazi unayoifanya mjini; kumbe wewe ni tapeli!!
 
Kwa nini husemi Makonda for 2025 😂😂😜😜

Hakuna Kind of Sukima.gang watarudi madarakani tena labda Samia aamue kukoma watu wa Bara msio na akili.

Mimi Niko mpakani,navuka baoda tuu kama.wakati wa yule hamnaxo mwingine
Unajipa matumaini unaongea mambo ambayo hauyaishi
 
Back
Top Bottom