Makonda aahidi kuwasaka mashoga mahotelini

Makonda aahidi kuwasaka mashoga mahotelini

Mkuu wa mkoa wa dsm kasema kuwa atapambana na mashoga popote walipo ataenda hadi mahotelini.. Source Magazetini:
My take: kuwafuata mashoga mahotelini ni hatari. Ila nampa support yangu. Hii hulka ya ushoga ni mbaya sana
Utamjuaje mtu kuwa ni shoga kwa kumkuta hotelini? Huyo dogo anachemka tu,
 
Mkuu wa mkoa wa dsm kasema kuwa atapambana na mashoga popote walipo ataenda hadi mahotelini.. Source Magazetini:
My take: kuwafuata mashoga mahotelini ni hatari. Ila nampa support yangu. Hii hulka ya ushoga ni mbaya sana
Kwanini asianze na yule wa take one ya zamaradi maneno kuntu
 
Dar imejaa wauza madawa ya kevya hawakamatwi badala yake wanaanzisha sober house kwa ajili ya wanaoathirika na madawa, leo mnataka mkamate mashoga
 
Kuanza kuzungumzia mashoga, ni kuchochea ongezeko la mashoga nchini... Nakumbuka hata matangazo ya BAKI NJIA KUU hayakusaidia watu kubakia njia kuu, bali watu ndo walifunguka na wale ambao hawakuwaza mchepuko waliamshwa nao wakachepuka... Hii ilipaswa iwe operation kimya kimya... Sisi tuendelee kujadili maendeleo ya nchi na kuhamasisha watu kulipa kodi.
 
Kwanini asianze na yule wa take one ya zamaradi maneno kuntu
yule kafanya uhalifu gani??

aisee kumbe kuna haja ya ku-review sheria zetu pamoja na kuwapa watu elimu ya kutosha!!!

akamatwe kwani ni criminal yule???
 
Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ametangaza operesheni ya kuwasaka mashoga jijini humo.

Makonda amesema vitendo hivyo vimeanza kuongezeka jijini humo na lengo lake ni kuwaokoa watoto wasiige mambo hayo yanayoonekana kukua kwa kasi.

Bosi huyo wa mkoa amesema, “hili ni tatizo linalokua kwa kasi sitaruhusu liendelee katika mkoa wangu, nitawasaka popote walipo”.

“Hata hapa bandari wanaweza kuwapo mashoga wafichueni, mkiona mtu ana tabia za ajabu ajabu mfichueni, tutashughulika nao”.

Nini maoni yako kuhusu huu msako Makonda anaotaka kuuanzisha
 
Harafu wakiwasaka watawashtaki Kwa kosa lipi. Je ? Tanzania tuna sheria ya makosa hayo
 
changamoto ni nyingi mashoga tuwaachie viongozi wa dini kutwa kujifungia madhabahuni
 
Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ametangaza operesheni ya kuwasaka mashoga jijini humo.

Makonda amesema vitendo hivyo vimeanza kuongezeka jijini humo na lengo lake ni kuwaokoa watoto wasiige mambo hayo yanayoonekana kukua kwa kasi.

Bosi huyo wa mkoa amesema, “hili ni tatizo linalokua kwa kasi sitaruhusu liendelee katika mkoa wangu, nitawasaka popote walipo”.

“Hata hapa bandari wanaweza kuwapo mashoga wafichueni, mkiona mtu ana tabia za ajabu ajabu mfichueni, tutashughulika nao”.

Nini maoni yako kuhusu huu msako Makonda anaotaka kuuanzisha
Aanzie kwenye kituo kilichofanya mahojiano na hao watu ndiyo watamuelekeza walipo
 
Hivi utamkamata mtu bila kidhibitosho, unasemaje ni shoga?umemkuta anakanguliwa au kwa muonekano wake?ukishawakamata unawapeleka wapi?

Malaya wa barabarani mpaka leo hii wapo na wanajiuzaa wamewashinda

Vipi na hao wanaowaingiliA??
 
ab37853dd73bd21ecd928800f5575407.jpg
 
Unajua kukaa kimya wakati mwingine siyo kwamba huna chakusema au kufanya kwani huenda ni mojawapo ya jibu au unatafakari cha kujibu au kufanya kwa busara zaidi.
Ndiyo maana laiti kama wengi wetu tuko karibu na Mungu hakika tungelikuwa na busara sana na kupewa maarifa lakini kwa kwakuwa wengi wa watu huwa mbali na Mungu naye Mungu kawanyima akili na Maarifa na hatimaye tunaonekana kufanya mambo kwa kurupuka.
Kwa ufupi "Speed without Brain is Zero", sote tuna paswa kwanza kujadili SABABU/CHANZO CHA MASHOGA NI NINI HASA,TUFANYE NINI ILI PASIWEPO KWA MASHOGA KWA KUMUHUSISHA MUNGU YOTE HAYO.
Tukitumia nguvu nyingi pasipo akili huenda ikawa BURE, suala hili tuanapaswa kila mmoja wetu kutoa mchango wake wa khali na mali kukomesha mashoga,Viongozi wa Dini,Familia n.k.
Ni kweli hakuna mwenye akili TIMAMU atakaye kubali ushoga, lakini tunapaswa kutumia akili na busara toka kwa Mungu na siyo Mwendo Kasi.
 
Back
Top Bottom