Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,108
- 136,797
Nimeangalia hii YouTube clip nikakumbuka maonyesho ya wale so called makomandoo wetu na zile show zao za kuvunja matofali na vibao.
Sijui hao wakwetu walienda kujifunza huko North Korea.
Watu wanapigana vita na ma drone wao bado wako na mentality ya kuvunja matofali.
Sijui hao wakwetu walienda kujifunza huko North Korea.
Watu wanapigana vita na ma drone wao bado wako na mentality ya kuvunja matofali.
Last edited by a moderator: