Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Hawa jamaa wanavaa visu maalum kiunoni kama nyongeza ya silaha nyingine wanazobeba. Tanzania wapo wa aina mbili kama sikosei. Walikuwepo banda la jeshi sabasaba 2010, na kipindi kile Brigadia GenM kabunda ndio alikuwa in charge. Inasemekana he also fought Kagera war, especial in the unit which cleared Amin elements wakati wanajenga daraja lililobomolewa. The guys are extremely good