Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,217
Mama Makinda ktk uhasilia wake tena km ilivyokuwa kwa Escrow..mama alikuwa akitafuta phrase nzuri hadi akaikuta kwa Chenge na kuzilibwa na Ayatoullha.Mamam akaelewa ghafla na kutaka watu wabaki hapo hapo.
Leo Mh.Mnyaa akijaribu uliza kwaninSrikali imlipe aliyeshindwa na kuuvunja mkataba,Mama alikomaa kwamba na tarehe za hayo mambo zisemwe,thena mama akawapa wenzie nafasi ya kujenga hisia kwamba Mnyaa Mnyaa anachanganya mambo.
Baadae wakaanza jenga hisia kwamba kuwapa chao ni dili sana ili ibaki yetu kwa 100% ni kitu kizuri sana kuliko kuzuia hii dili ya wizi tena.
Najiuliza whata if tukisikia wahindi wamepewa hela ambayo itaishia kwa mafisadi na kubebwa kwa magunia km ya escrow, halafu baadae tusikie tena kampuni yetu ikidaiwa na wazabuni wa aina ya a wahindi wazawa kwa kiasi cha kufilisika.?
Tayari nimeona harufu ya dili mbaya kupitia huyu mama,kwa jinsi anavyojifanya haelewei hadi jibu walilopangwa toka kwa mtu aliyepangwa ,na wnezie kumsupport kwa stai li ya kuwafanya wengine wafuate mkumbo au kutoleta mashaka.Yetu Macho na masikio.
ILa ni vyema km kuna upenyo ,kuuzima ni nafasi ya ushindi kwa watz ktk mapinduzi haya.
Leo Mh.Mnyaa akijaribu uliza kwaninSrikali imlipe aliyeshindwa na kuuvunja mkataba,Mama alikomaa kwamba na tarehe za hayo mambo zisemwe,thena mama akawapa wenzie nafasi ya kujenga hisia kwamba Mnyaa Mnyaa anachanganya mambo.
Baadae wakaanza jenga hisia kwamba kuwapa chao ni dili sana ili ibaki yetu kwa 100% ni kitu kizuri sana kuliko kuzuia hii dili ya wizi tena.
Najiuliza whata if tukisikia wahindi wamepewa hela ambayo itaishia kwa mafisadi na kubebwa kwa magunia km ya escrow, halafu baadae tusikie tena kampuni yetu ikidaiwa na wazabuni wa aina ya a wahindi wazawa kwa kiasi cha kufilisika.?
Tayari nimeona harufu ya dili mbaya kupitia huyu mama,kwa jinsi anavyojifanya haelewei hadi jibu walilopangwa toka kwa mtu aliyepangwa ,na wnezie kumsupport kwa stai li ya kuwafanya wengine wafuate mkumbo au kutoleta mashaka.Yetu Macho na masikio.
ILa ni vyema km kuna upenyo ,kuuzima ni nafasi ya ushindi kwa watz ktk mapinduzi haya.