Makebo ushakua msemo maarufu mtaani

Makebo ushakua msemo maarufu mtaani

Ndio anasema parody lako!
Naheshimu mawazo yake.

Mimi maparody yangu yote yamefungwa, kuyafungua wanasema ni update sijui vitu gan wakati mimi sikumbuki hata email za hayo maparody.
 
Naheshimu mawazo yake.

Mimi maparody yangu yote yamefungwa, kuyafungua wanasema ni update sijui vitu gan wakati mimi sikumbuki hata email za hayo maparody.
Hebu yataje hapa, usikute huko ni maadui halafu hapa tunanafkiana tu😏
 
Tuliwahi kuzinguana kwenye ile id yako ya zamani. Halafu kwenye Id yangu nyingine tulikuwa tuna chat PM kabla haujaanza kutumia jina la Seran.
Unakaribia kuchanganyikiwa naona! Ma id yote hayo kuna malipo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom