Holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 8,708
- 19,585
tumia neno haishi badala ya aishi,vilevile tumia yake badala ya ake.Huyu aishi kwa shemeji , amepangishiwa na bwana ake
tumia neno haishi badala ya aishi,vilevile tumia yake badala ya ake.Huyu aishi kwa shemeji , amepangishiwa na bwana ake
Cold war🤣This is more than vita aisee ila JF bwana😁😁
Tulia leo nina ahadi naaaaaa hivyo nina furahaUnaongea ujinga unajua eeh..
Umtoe wapi huyo labda uuze nyumba ya urithi..Tulia leo nina ahadi naaaaaa hivyo nina furahaView attachment 3598443
secretarybird kibamia hichooooooo😆😆😆😆😆😆😆😆😆tumia neno haishi badala ya aishi,vilevile tumia yake badala ya ake.
Shhh 🤫secretarybird kibamia hichooooooo😆😆😆😆😆😆😆😆😆
Mbona ulithi nilishanunulia makalio kitambo sana siku hizi nimebaki kutumbua macho tu ukutaniUmtoe wapi huyo labda uuze nyumba ya urithi..
Umekuja kunishambulia na ID zako 3, Stability na Mr Attorney, lakn nakushaur tafuta Kaz ya kufanya huo utoto hautakusaidia kuondoka kwa shemej yako haposecretarybird kibamia hichooooooo😆😆😆😆😆😆😆😆😆
wakiwa kwenye uzi mmoja huwa nacheka tu, wote wanamchangia Makebo, na yeye hapoi !Kuna wakati mtoa mada alikuwaga na skendo kuwa anatongoza wanaume PM wamnyandue , vp uliacha ule mchezo?
Anyway,
Chizi Maarifa secretarybird eli -DEFIANT- cohen sio watu wa kuanza nao ligi, itakutokea puanimaana leo makebo akiitwa anahisi mtu anasema matakooo
Yaani wewe..!Ninalo moja kubwa kuliko jenzie😎
Unataka kuniongezea moja yalingane?🤣Yaani wewe..!
Ukuje pm fasta kuna mzigo wako.
Mimi ni dr wa upasuaji, hiyo kazi ndogo kwangu.Unataka kuniongezea moja yalingane?🤣
Aisee nitakuja uniongezee hili moja limebonyea sio poa!Mimi ni dr wa upasuaji, hiyo kazi ndogo kwangu.
Dole gumba linakujaUmekuja kunishambulia na ID zako 3, Stability na Mr Attorney, lakn nakushaur tafuta Kaz ya kufanya huo utoto hautakusaidia kuondoka kwa shemej yako hapo
Ile financial services nayo ID Yako?Dole gumba linakuja
Huyo FS ni mwanamke, halafu kapanda hewani, guu la bia na ana jicho la kusinzia, kiufupi amekamilika kila idara ya umbo la nje la fasihi. Mara ya mwisho nilimuona maeneo ya Njia ya Airport.Ile financial services nayo ID Yako?
Anamaanisha Financial AnalystHuyo FS ni mwanamke, halafu kapanda hewani, guu la bia na ana jicho la kusinzia, kiufupi amekamilika kila idara ya umbo la nje la fasihi. Mara ya mwisho nilimuona maeneo ya Njia ya Airport.
Seran
Huyo simfahamu.Anamaanisha Financial Analyst