Make a status in facebook and it to say via Jamiiforums

Make a status in facebook and it to say via Jamiiforums

e2themiza

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
974
Reaction score
564
Habari zenu wakuu kuna app nimetengeneza via facebook.. ambayo itakuwezesha kupost on your wall sayin via Jamiiforums kama kwa mfano ukipost kupiia simu yako inasema via mobiel, or via blackberry e.t.c so i thought it was cul also making one saying via Jamiiforums na icon yake pia If you want to try it out au kushangaza watu open this link.. Inatakiwa uwe tayari logged in nda ufungue iyo link useje sema nataka kuhack account yako bure :lol: apo utaweka your status then click share na itapost on your wall via Jamiiforums:

Log In | Facebook


Here is a snap of the above link:

Snap_2011.12.18_12h01m45s_002_.jpg

And pia if you want isema maneno mengine i can also make kama tyari nimetegeneza another inayosema:

Via nokia ya tochi dont ask why it nanya biz 😛

Na nimeipost leo morniing hehe here is the snap:

hacked.jpg


OK HAVE A NICE SUNDAY!!!
 
Kwa hiyo wewe ni muintelejensia??unataka kujua hata akaunti zetu za fesibuku??no no no!
haha na hapana mkuu iyo sio madhumuni yangu. Ata hvyo siwezi nikajua account yako na iyo link au inauyo input iyo status sio mimi bali ni facebook wenyewe mimi nilichofanya nikutengeneza app ambayo itasema ivo. Leta nikirud hom kwenye pc nitaonyesha jinsi utakayo fanya hii na kuweka maneno unayotaka.
 
e2themiza,hebu wake basi link hiyo ya nokia ya tochi...
 
Alafu watu wa uraiani wanijue kua mimi Mwali ndio fulani wa facebook? Mwambie Neema ambae aliunganisha ID yake ya JF na FB
 
Cjakupata apo???
Nauliza hivi: Nikipost kitu humu kama Mwali, alafu FB status yangu inaonesha kua XXX (jina langu halisi) amepost .... on facebook, huoni kama anonymous status yangu iko hatarini?
Alafu nikaongeza: hiyo itamfaa dada Neema (a JF member) ambae amesha unganisha ID yake ya JF na ya FB.
Umenipata sasa?
 
Nauliza hivi: Nikipost kitu humu kama Mwali, alafu FB status yangu inaonesha kua XXX (jina langu halisi) amepost .... on facebook, huoni kama anonymous status yangu iko hatarini?
Alafu nikaongeza: hiyo itamfaa dada Neema (a JF member) ambae amesha unganisha ID yake ya JF na ya FB.
Umenipata sasa?
Yani ni kwamba hamna link yoyote au connection ya account yake na jf ni maneno tu ambayo yatatokea.. Na pia kule ikiandika via jamiiforums mtu ataweza kujua upo jamiiforums lakini there is no way akajua ninani wa jf.. Kama nilivosema ni maneno tu hamna connection yoyote.
 
na kutuwezesha kujua majina ya ukweli wa membaz
Hapana mkuu as i sed apo juu hamna connection. Na ni maneno tu na pia mtu yoyote wa fb ambayo pia sio member wa jf anaweza weka hvyo
 
Yani ni kwamba hamna link yoyote au connection ya account yake na jf ni maneno tu ambayo yatatokea.. Na pia kule ikiandika via jamiiforums mtu ataweza kujua upo jamiiforums lakini there is no way akajua ninani wa jf.. Kama nilivosema ni maneno tu hamna connection yoyote.
ooh hapa nimeelewa sasa..
 
Ni hatari kufanya kama huyu e2themiza anavyotaka. Hatari kubwa ni kujikuta information zako zote anazo. Inaitwa hacking. USIJARIBU
 
Alafu watu wa uraiani wanijue kua mimi Mwali ndio fulani wa facebook? Mwambie Neema ambae aliunganisha ID yake ya JF na FB

hahaha acha kukimbia kivuli chako mwenyewe Mwali,ukiweka hapa your real ID.....unakuwa more cautious,huandiki upupu wala kumtukana member mwingine lol,kila mtu angefanya hivi huoni JF ingekuwa raha???lol,halafu umejuaje hii ndio ID nayotumia facebook?lol umenitafuta eeeh?anyways watu wananijua unayemuona JF ndie mtu halisi..lol
 
Back
Top Bottom