King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,672
- 68,641
hahaha acha kukimbia kivuli chako mwenyewe Mwali,ukiweka hapa your real ID.....unakuwa more cautious,huandiki upupu wala kumtukana member mwingine lol,kila mtu angefanya hivi huoni JF ingekuwa raha???lol,halafu umejuaje hii ndio ID nayotumia facebook?lol umenitafuta eeeh?anyways watu wananijua unayemuona JF ndie mtu halisi..lol
Hivi mkuu unauhakika unachokisema kwl? Hivi mimi nihack account za wote na nipost kwenye wall yenu ili ni faidike nini.. Kwani haujaona apo juu nimesema lazima uwe logged in tayari ndo ufungue iyo link?? Mbona una anza kuleta visa vya ajabu? Mbona wangapi wametumia hyo link na hamna aliyelalamika wewe haujajaribu na hata hajasoma maelezo apo juu una anza kulalamika.View attachment 43715
Msidanganyike kuingiza informations zenu huyu jamaa anatufanya watu ni mandondocha ana-hack account yako then anapost kila kitu,kama unataka kujaribu fungua fb account nyingine na sio yako uliyozoea kufanya test,kueni makini na watu kama hawa ni hatari sana
Mkuu kama unahisi hvo dont try it. Lakini usiseme kitu ambacho hauna uhakika nacho. Ivi niku uliza swali katika step gani ya hapo juu mimi ntaweza hack account yako kama unavyosema?Ni hatari kufanya kama huyu e2themiza anavyotaka. Hatari kubwa ni kujikuta information zako zote anazo. Inaitwa hacking. USIJARIBU
ok mkuu nilitengeneza thread ya tutorial ya jnc ya kuweka maneno yako lakini mods wameitrash apparantely zle detail hairusiwi iwe public. Kama unataka maneno yako nipm na nikipata mda ntakutengenezea.mkubwa me nimeitumia ni nzuri,na vp khs kuandika maneno yangu mwenyewe?
mkuu nimepata pm yako umeme hamna huku nko kwa 4ne apa ukirud ntakufanyia mpango
ok mkuu nilitengeneza thread ya tutorial ya jnc ya kuweka maneno yako lakini mods wameitrash apparantely zle detail hairusiwi iwe public. Kama unataka maneno yako nipm na nikipata mda ntakutengenezea.
Nitumie na mimi PM,ni kweli nililog in imekubali,pia nitengenezee ya
via Siemens C25
via Nokia 900
via Blackberry Bold 9900