Fungua akaunti Barclays Bank kwa Tanzania ndo bank bora kwasababu ukifungua akaunti unapata hapo hapo akaunt namba pamoja na visa card bure lakini pia services zao ziko very standard kwa mfano atm charges ni 1100tshs na saving account haina makato ya mwezi achana na wababaishaji kama sijui chapchap na crdb security ya pesa yako haipo