Me ATM wana kata 3k CRDB kuangalia salio ..kwa mawakala ndo sitaki kabsa kutoa hata pesaWatumie faida za kwenye mikopo
Jee hukuiwacha akaunti kwa muda mrefu bila ya matumizi na balance ya kutosha? Pengine ulipoweka hela wali compensate makato ya miezi mingine ya nyuma...NBC matapeli kuweni makin na bankstement za kila mwezi wanazotuma kwenye email..utagundua wana iba kijanja. eti unakatwa Insurance Premum mara 3 ndani ya mwezi mmoja.. alafu hakuna mahali umeongea nao kuhusu insurance na katika miaka 3 ya kuwa nao sijawahi ona wamenikata mambo ya Insurance. 1,000 mara 3 jumla ,3000 ndan ya mwezi huu wa 11, haya hawakuishia hapo wakaja tena waka nikata Digital access fee mara 3 yaan 1500 x3 =4500 haikutosha wakaja waka nikata tena hela sijui ya nini ukiangalia jumla nimekatwa 7800/= ndani ya mwezi wa 11 , wakati sijawahi fanya online access ya acc yangu hata siku moja wala sina tabia hiyo.. aasa hiyo digital access fee imekatwaje? haya hiyo insurance premium nimekatwaje wakati sija wahi iona katika bank statement zangu hata sikh moja kwa miaka 3 yakuwa nao?
Kuweni makin kuna makato madogo madogo ambayo hii bank inafanya bila kujali mteja atasemaje wala hakuna makubaliano yoyote..huu ni wizi kwa lay man wasio jua.. mm najua ni uonevu na wizi ndio na toa taarifa hapa muwe makin na mabank.. nasubiria nirudi uko dar nije kuifunga acc staki tena kusikia hii laana ya NBC wachez na wajinga wengine siyo mimi