LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,449
Mhh labda kwenye app ATM kama wanakata hiviiCRDB kuangalia salio buree, NMB 350.
Mhh labda kwenye app ATM kama wanakata hiviiCRDB kuangalia salio buree, NMB 350.
Braza unafatilia kweli..!!!??Njoo CRDB
ATM charge nadhani ni sh 700 kama sijakosea
Braza anaitwa LadyRed jmn😉
Si kweli hata kwenye sim banking baada ya kufanya muamala,taarifa inakuja kwa njia mfupi ikionesha na makato uliyokatwa kwa ajili ya huo muamalaNakukoma kwa vichambo leoo mbonaa...nimenyoooka baba
Nadhani effect pia ya kutumia sm accounts ambazo zina free charges hapo unakua hujui wanakata bei gani
alijua wewe ni buraza, laiti angejua jinsi ulivyo mremboBraza anaitwa LadyRed jmn
Haikuwa 700 Nina mashaka na royal customer yako...Gadeeeem
Ndo nimebaini hilo kwny statement hapaa hahaha
Naona nlikua nmekariri 700 ya zamani
Vipi barclays mkuu,makato yao yako vipi?CRDB is the best Bank hapa TZ kwa sasa to be honest
Labda na NMB
Ila mi ni loyal customer wa CRDB
Internationally naikubali Standard Chartered
Vipi barclays mkuu,makato yao yako vipi?
Kumbe mrembo, Samahani jamani.Braza anaitwa LadyRed jmn
Ni ya serikali mkuunaomba kuuliza crdb ni yaserikali ama private
CRDB ni public company = Mali ya wenye hisanaomba kuuliza crdb ni yaserikali ama private
CRDB si ya serikali.Ni ya serikali mkuu
Sikushawishi bado sana hawa jamaa,halafu naona kazi wanapeana kiyakhe basi ueledi hakuna kabisaMkuu una uzoefu wowote wa amana bank,maana kuna mtu ananishawishi nihamie huko kwa kuwa hawana makato makubwa
Sio CRDB tuu kila bank ina makato yake.Crdb ndiko mtu hanishawishi hata kidogo. Kuna jamaa yangu alifungua akaunt huko ili alipwe posho fulani (150000). Akashawishiwa na wenzake afungue crdb ndiko Safi. Jamaa ile hela ilipoingia akaiacha ikae na akawa anaweka kdgkdg anakadiria kama 200+. Baada ya miezi mitatu anaenda kutoa 50000 inagoma akajaribu tena ikagoma. Alikuwa na risiti zinazoonesha miamala ya kuweka na huo wa kutoa alitoa 23000/ tu kati ya laki mbili na ushee. Aliemda huduma kwa wateja wakamwambia kuna makato ya kuendesha akaunt kwa kila mwezi sijui 10000, jamaa akawauliza pesa nyingine, wakamwambia haionekani kwenye system. Anadai alivunja kadi yao palepale na hakuwahi kurudi. Inauma sana
Wkt mlisema matajiri wataishi kama mashetani.Ccm tupo mbioni kuanzisha Bank ya kukomboa Wanyonge
Kwamujibu wa vielelezo, alitungua saving account. Hata kama ingekuwa nn, wanadai wanakata 10000 kwamwezi, alikaa miezi mitatu. Akatoa 23000 kati ya lakimbili na ushee, hesabu ya aina gani hii. Ama ndio kusema wanakata kwakutumia aljebraSio CRDB tuu kila bank ina makato yake.
Tatizo sio bank ila tatizo lipo kwa wateja wenyewe..!!
Mtu anaenda bank hajui anataka nini.
Ila cha kutambua kuna Account aina 3 zenye makato na zisizo na makato.
1. Current account
2. Investment account
3. Saving account.
Sasa unaenda bank UNASHIDA GANI NA HUDUMA GANI?
#YNWA
Sent using Jamii Forums mobile app