Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,906
- 150,215
NishazoeaaHaha naelewa mjomba,tia maji tia maji
NishazoeaaHaha naelewa mjomba,tia maji tia maji
Shikilia hapo hapo, sikukuu hizi, hatutaki vikao vya kusuluhisha na binamu yanguNishazoeaa
Wenyewe mnanigeukaa acha nipambane kivyanguShikilia hapo hapo, sikukuu hizi, hatutaki vikao vya kusuluhisha na binamu yangu
Tunakuwekea mambo sawa kila mara,tatzo hauchelewi kuharbuWenyewe mnanigeukaa acha nipambane kivyangu
Nishajirekebishaa tatzo hamuniaminTunakuwekea mambo sawa kila mara,tatzo hauchelewi kuharbu
We na da vinci hamna tofautiNdio Shunie
Samahani Shunie..We na da vinci hamna tofauti
mjombaa vipiii tenaSamahani Shunie..
Tunatofauti kubwa sana!!
mjombaa mjombaa, hakuna kitu,mjombaa vipiii tena
Umejibuuu nikakumbuka kipindi kile cha mnyatio wa kona ulivobambwa ukajitetea wewe sio kama binamu 😂😂😂😂mjombaa mjombaa, hakuna kitu,
Hhahahahha hapana ila mnaendana endana tuSamahani Shunie..
Tunatofauti kubwa sana!!
Umepotea Sana mkuuHhahahahha hapana ila mnaendana endana tu
Ha ha ha mjomba mjomba,una mwaga mchele kwenye kuku wengi sasaUmejibuuu nikakumbuka kipindi kile cha mnyatio wa kona ulivobambwa ukajitetea wewe sio kama binamu
Kwan vibayaa kukumbushana au unataka nikuchekeshee na ile ya mhudumu wa lodge wakoHa ha ha mjomba mjomba,una mwaga mchele kwenye kuku wengi sasa
Ha ha ha, hapana Shunie, hatuendani hata kidogo...Hhahahahha hapana ila mnaendana endana tu
He he tajiri upo Bongo hii au upo maulayaUmepotea Sana mkuu
makazi mapya shunie mimi wapi huko we baba wawili natafuta sponsor wa kunihamishaHa ha ha, hapana Shunie, hatuendani hata kidogo...
Em tuachane na mambo ya kufanana na kuendana...
Haujambo lakini?kwema hapo kwenye makazi mapya?
Ipo mwingi nimekaa tele.He he tajiri upo Bongo hii au upo maulaya
Nimekumiss bwana
Nimeadimika sana siku ukiwepo niambie nikujeIpo mwingi nimekaa tele.
Kale kakijiwe ketu umeadimika