trey007
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 312
- 1,547
Shemela bongo movie yenu,ingia pm nimekutumia picha yangu na love wangu TumosaBaba D ukujeeee ujichekeeee
Muziki: Misimu Sio Wingi wa Simu
......yalikuwa maongezi tu na tukajikuta hakuna muafaka tunaofikia na kama waungwana walivyo, tukakubaliana kutokubaliana na kisha tukasema kwa kuwa mazungumzo yetu yalikuwa ni kama kamati ya kujadili makinikia basi usitegemee kupata 'mrejesho' yaani mshindonyuma (feedback). Ninakusalimia Kapuku mheshimika na sitochoka kukwambia, KF ni sehemu nzuri kwa sababu wewe uko hapa. Asante sana maana uwepo wako, wewe, mimi yaani sisi ndo tunalifanya jukwaa hili kukamilika kila idara.
Utataka nini ukose hapa, kuanzia teknolojia ya kisasa hadi ile ya kwa kina shedede Sumba-wanga. Utakutana na sports kwa kuwa member wa hapa si wa mchezo mchezo, they mean business bila kukwepesha. utapenda kupata fiction na non-fiction bila fiks basi usiondoke Jukwaani hapa. unaruhusiwa kutoka kwa muda lakini sio kuondoka mazima. Asanteni wadau wote kwa kulipendezesha Jukwaa hili.
Muziki sasa, nimkuwa nikifuatilia huu msemo maarufu kwa sasa 'woyooooooo' nikajiuliza unamaanisha nini? Nikaona isiwe tabu maana kama haikuui inakufanya uwe na nguvu na kunatofauti ya wholesaler na whoresaler, haya yote ni maneno tu ambayo huja na kutokomea kutokana na muda na mazingira. utasikia mengi, enzi za JKN, AHM, BWM, JMK na sasa JPM misimu ilikuwepo, ikaondoka na itaendelea kuwepo.
Burudika na moja ya misimu hata kama hujasika simu
Nakufa kwa staili hiiHuwezi kufa jamanii....
Miss you tooTumemisiana kumbe
Upo mukongoBwana Yesu asifiwe,.....niko huku misitu ya mbilikimo naeneza Injili.....much love to you guys.....miss you sana
Awww so cute I wish na mimi baba d ebu fanya mambo tumletee d dada akee
Utanataka wakupe Nobel Prize of patienceYaaani inabidi nipewe tuzo kwa kweeeli.... Huu uvumilivu sio wa nchi hii
Wananizingizia bhanaaNaskia umepata baby boy
Dj niaje, za sikuSiwezi kuwatenga kabisa,
Ninyi ni ndugu zangu wa damu bwana!
Keshapewa redbull huyooNikuletee kinywaji gani dyadya jaman
Woyooooooooooo
MwakaniiiUngetualika tu jaman tungekula kilichopo
Kunywa hii hapaKho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho
Pm ipiiiiiiii situmii pm mie shemela angalia vizuriShemela bongo movie yenu,ingia pm nimekutumia picha yangu na love wangu Tumosa
Veeeep
mita 500 inakuhusu kukimbia woiiiii siongozani na wewe ukimbie mwenyewe me na hizo mambo za mbio tofauti dada
Nakuja na baba d kupimwa awepo nikipimwa huo mkojoShunie...
Nitakupima mkojo ujue..?
Kama?dyadya ujue nakumbuka vingi sana