Makapuku Forum

Asante Mkuu kwa mambo muhimu ya kumuhusu El capitano de la Roma.
 
Asante kwa Nukuu T wa Sakayo
 
Ukitaka kugombana na Waroma kabomoe sanamu walizomjengea
......
Unaambiwa waroma wanampenda jamaa kupita maelezo..

Alishapewa mkataba wa kuwepo kwenye benchi la ufundi la As Roma lakini jamaa akakataa..

Kakomaa kucheza hadi sasa hivi anafikisha 40 kesho kutwa tuu..

Wengine waamini kuwa Totti ndio mtu influencial huko Roma baada ya Pope..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…