tani 1+ wanaenda kuvuta watu kumiDARGAI, PAKISTAN
Watu wakivuta gari lililopinduka juu ya kilima baada ya kupakia Ngano kupita kiasi.
*************************
Kesho pia ni siku tutaendelea kujuzana kwa wiki nzima.
Nakutakieni mchana mwema
Asante Mkuu kwa mambo muhimu ya kumuhusu El capitano de la Roma.NUKUU YA LEO
Winning one league title at Roma to me is worth winning 10 at Juventus or Real Madrid.
Kushinda kombe moja la ligi nikiwa na Roma ni faida kubwa kwangu kuliko kushinda makombe 10 ukiwa na Juventus au Madrid
Haya maneno yalipata kusemwa na mwanasoka wa kimataifa ya Italia na klabu ya As Roma Bw. Francesco Totti. Totti alizaliwa sept. 27. 1976 mjini Roma-Itali
Francesco Totti anayevaa jezi namba 10 amedumu As Roma kwa miaka 24 na kuweka rekodi nyingi kuliko mtu yeyote.
Totti amecheza jumla ya mechi 786 na kufunga magoli na kufunga jumla ya magoli 307.
Juzi jumapili Totti alistaafu Rasmi kucheza soka ngazi ya Club wakati alistaafu team ya Taifa 2007 .
Nimefanya kwa ufupi tuu wakuu..ila week hii nitakuwa naleta matukio na nukuu za Francesco Totti.
Waitaliano wanasema
No Totti, No party
Asante kwa Nukuu T wa SakayoNUKUU YA LEO
Winning one league title at Roma to me is worth winning 10 at Juventus or Real Madrid.
Kushinda kombe moja la ligi nikiwa na Roma ni faida kubwa kwangu kuliko kushinda makombe 10 ukiwa na Juventus au Madrid
Haya maneno yalipata kusemwa na mwanasoka wa kimataifa ya Italia na klabu ya As Roma Bw. Francesco Totti. Totti alizaliwa sept. 27. 1976 mjini Roma-Itali
Francesco Totti anayevaa jezi namba 10 amedumu As Roma kwa miaka 24 na kuweka rekodi nyingi kuliko mtu yeyote.
Totti amecheza jumla ya mechi 786 na kufunga magoli na kufunga jumla ya magoli 307.
Juzi jumapili Totti alistaafu Rasmi kucheza soka ngazi ya Club wakati alistaafu team ya Taifa 2007 .
Nimefanya kwa ufupi tuu wakuu..ila week hii nitakuwa naleta matukio na nukuu za Francesco Totti.
Waitaliano wanasema
No Totti, No party
HatariMaandishi katika nguo za mitumba. Kama anayevaa na hata wanaomzunguka hawajui kilichoandikwa kuna tatizo? Hata kama wachache wakijua, kuna ubaya wo wote?
Asante mkuu Nyagei barikiwaKama nilivyoahidi jana kuwa ningeleta segment fupi kwa ajili ya kuangalia upakiaji mizigo kupita kiasi, jana sikufanikiwa ila leo nitaleta na itakuwa ya mtiririko kwa juma zima.
Karibuni.
Asante BHAsante kwa Nukuu T wa Sakayo
Hataree sana huyu jamaaAsante Mkuu kwa mambo muhimu ya kumuhusu El capitano de la Roma.
No Totti No Party
Unaambiwa waroma wanampenda jamaa kupita maelezo..Ukitaka kugombana na Waroma kabomoe sanamu walizomjengea
......