Makapuku Forum

Msongo wa mawazo ni kitu kibaya hasa mtu akikosa wa kumfariji
Kevin alijiua baada kushindwa kuhimili stress
.
.
.
.
Shukrani kwa nukuu
.....
 
Pole sana kwa kupoteza familia ambayo huwezi hata siku moja kupata mpya,wakiondoka wameondoka..Mungu awapumzishe kwa amani.

Hongera kwa kujiunga na jeshi katika umri mdogo sana,naamini alikua na bidii hata kupandishwa cheo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…