Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Nimerudiiii
Si mmeshindwa kumtunza shunie
Vizur gharama naona ushakuwa kaka kwa husna ..kweli mapenzi kizungumkutiiii

Nimerudiiii
Si mmeshindwa kumtunza shunie
Vizur gharama naona ushakuwa kaka kwa husna ..kweli mapenzi kizungumkutiiii

Usichekeee
Nilijua unaangalia tenahahhhaa umekumbuka recorded ya real madrid ya siku ile shemela unakumbu kumbu
hivi naachikaje lakiniAtaachikaaa
Ila wewe humpatiii
Wewe iyo kazi si ulipewa weweAfadhali apate kazi
Akuuu me nna Shululu wangu ananitoshaDaaah shedede kanipiga bao now sina mtu labda shunie or Tumosa wakinikubali..

UshindweeeeeDaaah shedede kanipiga bao now sina mtu labda shunie or Tumosa wakinikubali..
Yaa mkuu hayotoka lin hao wakawa wadogo zako
ya tigo yapojeOoooooooh vizuriii yasijekuwa ya tigo
Umejua sasa, uzuri hazijibiwiPm tena
Naomba utambulishoooMke anae kwani haujamuona
Mkuu vipWw kasa/Mamba hahaaa
Mkuu za masiku naona umerudi
Anajua sanaMke anae kwani haujamuona
hongera baby kwa kuwa mabingwa wa eplPongezaa kwanza kwa ushindii
shemela shululu kama nakuona unavyocheka
Uko wapii kwanza ..unazidiwajee na shedede wakat last seen kwa husna ilikuwa kwakooHahaaaaa
Nilimiss hizi Battle aisee
Aaah ila ndio uzima kwetu huku wanasema..
MujalabuSiwezi kukosa ninaye Tumosa wangu kipenzi changu chanda changu