Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Itafika leo ntakuwa refaTunatafuta 20k
Itafika leo ntakuwa refaTunatafuta 20k
Shemu nakupendaAssante wifi angu.. Kaka ako keshalala
Uko poa Lakin???
Acha matusi wew hiyo rank yako ndogo sana kwangu huwezi niamurisha, tenawTAARIFA KWA MAKAPUKU WOTE
Dakika tano zijazo kamanda kikosi MAKAPUKU forum atapita katika jukwaa hili akielekea rest house kwa ajili ya kulalaa
haya makapukuu woteee mguuu upandeee..
mmguuuu sawaaaa
Mwiliiiiiii legezaaaaaa
Tuliaaaaaaaaaa
IMETOLEWA NA MKUU WA MAJESHI MAKAPUKU FORUM
ndg DEKITAMBI
Imepokelewa...... Atakaetupia atakabidhiwaView attachment 342127 zawadi hiyo hapo ximena usiichakachue dadangu
Ina kidhi viwango lakini!Imepokelewa...... Atakaetupia atakabidhiwa
Vigezo na masharti kuzingatiwa
HakikaIna kidhi viwango lakini!
Haya changamsha jukwaa zijae 20kHakika
Nasinziaaaa. . . acha ilale hivi hivi kesho ndo ifikeHaya changamsha jukwaa zijae 20k
Zisipofika leo zawadi ime expire ni ya leo tuWakuu mi nalala, ila mtu atakaetupia ya 20k kama ntakuwa bado nimelala apige screenshot au anitag ili nimpe zawadi yake kutoka kwa mdhamini wetu
Usiku mwema wote
Kweli umeechoka naona kazi yako hapaNasinziaaaa. . . acha ilale hivi hivi kesho ndo ifike
Kwani siku hizi mmepatwa na sleeping sickness au tatizo nini mana mnalala mapema mnoooooNasinziaaaa. . . acha ilale hivi hivi kesho ndo ifike

Weekend ilikuwa na mengi sana mkuu, tuvumiliane tu,Kwani siku hizi mmepatwa na sleeping sickness au tatizo nini mana mnalala mapema mnooooo![]()
![]()
Tatizo mnafuatilia mpambano kwa mbali mm ndo najitupa uwanjani na ximena tu!Kwani siku hizi mmepatwa na sleeping sickness au tatizo nini mana mnalala mapema mnooooo![]()
![]()
Usiku mwemaBye nami nalala![]()
![]()
![]()
Kabaridi haka mkuuu,Kwani siku hizi mmepatwa na sleeping sickness au tatizo nini mana mnalala mapema mnooooo![]()
![]()