Makapuku Forum

1961--Watetezi wa haki za kiraia wanakamatwa na kuswekwa ndani katika kitongoji cha Jackson huko Mississippi Vuguvugu lilianza miaka ya 1950 kutokana na ukandamizaji mkubwa wa hali za watu weusi na hapo likaibuka kundi la Freedom Riders na kuhamasisha watu kudai hali zao makanisani,majumbani,mitaani n.k

Bongo tutaanza lini juu ya hii serikali ya kidwanzi ya Sizonje na wanawe?
........
 
1966-- Eric Cantina anazaliwa
Ni nahodha Wa zamani wa Man Utd pia aliichezea timu ya Taifa ya Ufaransa
Ni mwanasoka aliyekuwa na kipaji kikubwa lakini mbabe na mkorofi kama Roy Keane
Anakumbukwa kwa tukio lake la kumrukia shabiki wa timu ponzani teke la kung fu kutokana na kukerwa namna alivyokuwa akimzomea
Aliiamua kuachana na soka mapema na kujikita kwenye soka la ufukweni na uchezaji filamu
.
.
.
Ahsanteni kwa kufuatilia mada
Mwisho
.............
 
Haaaaahaaaa
 
Asante bitoz kwa leo katika historia
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…