Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kuishi ndani ya muziki ni raha sana, ndo maana wengie huwa tunasikiza nyimbo za dini huku tunafanya yasiyowapendeza washika dini
Hakika mkuu, nachukua coin yangu na nipo bar ila nachagua nyimbo ya SDA ambassador
 
  • Thanks
Reactions: Obe
Duh, haya majina ya hizi tema zinazoshiriki yanaashiria kitu kimoja tu, kusini mwa Afrika tujikite kwenye ufugaji tu
Africa ya kaskazini wamejiendeleza vizuri kwenye soka
 
  • Thanks
Reactions: Obe
Hakika mkuu, nachukua coin yangu na nipo bar ila nachagua nyimbo ya SDA ambassador


ha hahahhahaha, hatutofautiani sana. Juzi nimekaa naangusha moja moja hata kuhesabu nishasahau (namwamini bartender hunipa hesabu kamili) nikawa nawasikiliza Muungano choir
 
ZABURI 122

1.Nalifurahi sana waliponiambia na twende nyumbani kwa BWANA.

2.Miguu yetu imesimama Ndani ya malango yako,Ee Yerusalemu.

3.Ee Yerusalemu,uliyejengwa kama mji ulioshikamana.

4.Huko ndiko walikopanda kabila za BWANA.Ushuhuda kwa Israel.Walishukuru jina la BWANA.

5.Maana huko viliwekwa viti vya hukumu.Viti vya enzi vya mbari ya Daud.

6.Utakieni Yerusalemu amani, Na wafanikiwe wakupendao.

7.Amani na ikae ndani ya kuta zako Na kufanikiwa ndani ya majumba yako.

8.Kwa ajili ya ndugu zangu na rafiki zangu,Niseme sasa,Amani ikae nawe.

9.Kwa ajili ya nyumba ya BWANA,Mungu wetu nikutafitie mema
 
ZABURI 122

1.Nalifurahi sana waliponiambia na twende nyumbani kwa BWANA.

2.Miguu yetu imesimama Ndani ya malango yako,Ee Yerusalemu.

3.Ee Yerusalemu,uliyejengwa kama mji ulioshikamana.

4.Huko ndiko walikopanda kabila za BWANA.Ushuhuda kwa Israel.Walishukuru jina la BWANA.

5.Maana huko viliwekwa viti vya hukumu.Viti vya enzi vya mbari ya Daud.

6.Utakieni Yerusalemu amani, Na wafanikiwe wakupendao.

7.Amani na ikae ndani ya kuta zako Na kufanikiwa ndani ya majumba yako.

8.Kwa ajili ya ndugu zangu na rafiki zangu,Niseme sasa,Amani ikae nawe.

9.Kwa ajili ya nyumba ya BWANA,Mungu wetu nikutafitie mema
Amen Blessed!
 
ZABURI 122

1.Nalifurahi sana waliponiambia na twende nyumbani kwa BWANA.

2.Miguu yetu imesimama Ndani ya malango yako,Ee Yerusalemu.

3.Ee Yerusalemu,uliyejengwa kama mji ulioshikamana.

4.Huko ndiko walikopanda kabila za BWANA.Ushuhuda kwa Israel.Walishukuru jina la BWANA.

5.Maana huko viliwekwa viti vya hukumu.Viti vya enzi vya mbari ya Daud.

6.Utakieni Yerusalemu amani, Na wafanikiwe wakupendao.

7.Amani na ikae ndani ya kuta zako Na kufanikiwa ndani ya majumba yako.

8.Kwa ajili ya ndugu zangu na rafiki zangu,Niseme sasa,Amani ikae nawe.

9.Kwa ajili ya nyumba ya BWANA,Mungu wetu nikutafitie mema
Hulali wewe..
BTW Shukrani mayo wane..
 
Hulali wewe..
BTW Shukrani mayo wane..
MATHAYO 26

41.Kesheni mwombe,msije mkaingia majaribuni :roho i radhi ,lakini mwili ni dhaifu.

Tunapaswa kukesha tukiomba,lakini katika ubinadamu wetu tunazidiwa na machovu ya mapito ya humu duniani,tukipata muda kidogo basi tumshukuru Mu gu kwa pumzi anayotupa na mema yote anatotutendea.

Mbarikiwe
 
ZABURI 122

1.Nalifurahi sana waliponiambia na twende nyumbani kwa BWANA.

2.Miguu yetu imesimama Ndani ya malango yako,Ee Yerusalemu.

3.Ee Yerusalemu,uliyejengwa kama mji ulioshikamana.

4.Huko ndiko walikopanda kabila za BWANA.Ushuhuda kwa Israel.Walishukuru jina la BWANA.

5.Maana huko viliwekwa viti vya hukumu.Viti vya enzi vya mbari ya Daud.

6.Utakieni Yerusalemu amani, Na wafanikiwe wakupendao.

7.Amani na ikae ndani ya kuta zako Na kufanikiwa ndani ya majumba yako.

8.Kwa ajili ya ndugu zangu na rafiki zangu,Niseme sasa,Amani ikae nawe.

9.Kwa ajili ya nyumba ya BWANA,Mungu wetu nikutafitie mema
Amen
 
MATHAYO 26

41.Kesheni mwombe,msije mkaingia majaribuni :roho i radhi ,lakini mwili ni dhaifu.

Tunapaswa kukesha tukiomba,lakini katika ubinadamu wetu tunazidiwa na machovu ya mapito ya humu duniani,tukipata muda kidogo basi tumshukuru Mu gu kwa pumzi anayotupa na mema yote anatotutendea.

Mbarikiwe
 
Good morning le family letu pendwa...back to actions as normal

UF ...twende sawa ...
9091e9fb41819f47b984d639c7cfa2a7.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom