Makapuku Forum

ZABURI 3

5.Najilaza nikalala usingizi,nikaamka kwa kuwa BWANA ANANITEGEMEZA

Tukijua MUNGU yu pamoja nasi twaweza pumzika hata wakati wa dhiki


TUOMBE
Asante BABA kwakuwa unaendelea kututetea na kutupa ushindi,tunaomba toba kwa yote tunayokukosea.
Tunajikabidhi Baba usiku waleo utulinde tunafahamu husinzii wala hulali upo macho kutuangalia tusipatwe na mabaya.
Nawakabidhi wagonjwa wafiwa yatima na wenye shida mbalimbali.utulinde malaika walinzi watuzunguke
Asante Baba kwa kuwa utatenda sawasawa na mapenzi yako.
Katika jina la Yesu Kristo Amen

USIKU MWEMA
 
Amen... Ahsante kwa neno ubarikiwe ndugu... Ila kesho usisahau kubeba sadaka utakapoenda Church
 
Hakika wewe ni zoba kweli
 
Asante kwa sala mama mchuchu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…