Makapuku Forum


Shikamoo Makapuku
Nategemea hapo ulipo haujambo
Huku nyumbani bibi khajambo lakini aliniambia nikujulishe kuhusu ile kitu yake ya siku zote kama imepanda bei

Zamani aliipate kwa anko deby kwa tsh 100 lakini tokea waseme no viroba imepanda kweli

Nimejitahidi kuzunguka mitaa ya kina shemera nako tabu nimekosa
Nimejaribu kumpigia anty Shinune kasema eti nae kaokoka hakika kama jinsi ujuavyo bila kupatikaña hiyo kitu sidhani kama bibi kesho ataamka

Bibi kasema ni kueleze wewe anko Kapuku kwa kuwa anakuaminia hasa zile styre zako zakuchomekea suruali yenye viraka huku ukitembea kwa madaha mfano wa ile band ya Tarumbeta anaamini kama utakasa hakika huwezi kikosa kabisa....

Basi kama utapata usije kuleta hadharani nakuomba ufunge vilivyo ili watoto wasije kungamua kilicho chonde chonde usiache sory....
Wako Akupendae
Anko Zoba...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…