shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Heineken, nasikia zimeshuka beiacha nijilipue na kinywaji nilichozoea hiyo dompo hapana aisee nasikia inaleta hamu sana hapa kichwa kinaweza kutulia![]()
Heineken, nasikia zimeshuka beiacha nijilipue na kinywaji nilichozoea hiyo dompo hapana aisee nasikia inaleta hamu sana hapa kichwa kinaweza kutulia![]()
Mgeni yupi humjuiNitambulishe kwa wageni
I will miss you too my loveSi uishi kama Sakayo tuu
Nina stress moja tu.. Ya kummiss T baaasi
Uko na naniiiiiSi hotelini wala...
Hapa home...!
Aiseeacha nijilipue na kinywaji nilichozoea hiyo dompo hapana aisee nasikia inaleta hamu sana hapa kichwa kinaweza kutulia![]()
HahahhhhTooobaa
Eh eh... Sijakushika mbonaniacheni jaman
Ndio maana ya makapuku mkuu, ukishuka watu wanapandaWageni naona ni wengi mnoo
mwenye avatar yake akisema nitabadili mniache jamaanIla sasa hasikii kabisa
Mwenyewe tuu...huoni glass moja..Naona na remote
Uko na nani mume wangu jamani
Nakupenda tuu. That's what I can say for now...I will miss you too my love
Unapenda uende nchi gani mwana wa sakayoTakiiiii
ZakayoMgeni yupi humjui
Em Muulize home ipi hiyoUko na naniiiii
Whatsapp yupo toka asubuhi..Muwekee kule Wozap bhana...
wakina nani sema tukutambulisheWageni naona ni wengi mnoo
Kwetu elf 3500Heineken, nasikia zimeshuka bei