Makapuku Forum

Makapuku Forum

928b7cfe2f76397479b58acec94fb8bc.jpg
 
Daaaah
Mie nikiona mwandiko wako tuu mapigo ya moyo yanabadilika mpenzi....

Nimekumiss mnoo, ila naamini Mungu atakutunza urudi salama...

Can't wait to see you again my love..... Love you mnooo hubby
I love you my omotola...


Nimekukumbuka sana leo mama...weeekend ya kwanza kuwa mbali sana na wewe...

Najaribu kujizoesha ila its taking me to difficult situations..

Naamini haya majukumua yataisha and i will be back in town

I will be by your side in every second..

Nakupenda mno chotara wangu...
 
I love you my omotola...


Nimekukumbuka sana leo mama...weeekend ya kwanza kuwa mbali sana na wewe...

Najaribu kujizoesha ila its taking me to difficult situations..

Naamini haya majukumua yataisha and i will be back in town

I will be by your side in every second..

Nakupenda mno chotara wangu...
Lovie,,,, am speechless!!!!

Nimejikuta tuu natabasamu mume wangu kipenzi!!!!

Huyu Mungu akutunze tuu urudi salama....

Sio kwa kukumiss huku jamani... Hili baridi si la mchezo without you by my side honey!!!!!
 
I love you my omotola...


Nimekukumbuka sana leo mama...weeekend ya kwanza kuwa mbali sana na wewe...

Najaribu kujizoesha ila its taking me to difficult situations..

Naamini haya majukumua yataisha and i will be back in town

I will be by your side in every second..

Nakupenda mno chotara wangu...
mbona chotara
 
Lovie,,,, am speechless!!!!

Nimejikuta tuu natabasamu mume wangu kipenzi!!!!

Huyu Mungu akutunze tuu urudi salama....

Sio kwa kukumiss huku jamani... Hili baridi si la mchezo without you by my side honey!!!!!
Nitarudi mama!

I will be back soon..i see as its getting a century now..

Ila haina budi...we need cash to make life.

Get used to this..! Mimi wako wewe wangu..
 
Nitarudi mama!

I will be back soon..i see as its getting a century now..

Ila haina budi...we need cash to make life.

Get used to this..! Mimi wako wewe wangu..
I know hunie...
Kazi kwanza, hayo mengine yapo tu lovie...
Am all yours worry out!!!!

Fanya kazi ukijua there is someone who always loves you and pray for you!!!!

Nakupenda sana T wangu jamani....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom