kwanini asinielewe na nishapata mwenza wangu ......kila kazi inamipaka siwezi kumlinda shunie wakati ninaye wakulinda na anaitaji pendo langu na kukaanae karibu muda wote iyo kazi nakuachia wewe virago vyangu vyote ........chukua .......
hahhaha atamuelewa hakuna namna huyu nae ni mwanaume anahitaji kuliwazwa
akikataa akimwambia boss nikimchukua shunie usilalamike mana hamu zinazidi atafanyaje
kwanini asinielewe na nishapata mwenza wangu ......kila kazi inamipaka siwezi kumlinda shunie wakati ninaye wakulinda na anaitaji pendo langu na kukaanae karibu muda wote iyo kazi nakuachia wewe virago vyangu vyote ........chukua .......