Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
shedede njo umalizane na husna
Ooo no my dear ugomvi sio mzuri
OK thankshusna umesikia new baby ndio huyo
asante kwa kunisaidia ku-aproach i appreateMmh mm nimeshamaliza ongeeni wenyewe sasa
nitulize tu laazizi maana nilikuwaga mlinzi b4 kwaiyo matatizo na ngumi ndogo ndogo sichezinazo mbaliOoo no my dear ugomvi sio mzuri
Mkuu nikuangushe kivipi tena? Husna kasema anatibu wenye matatizo ya meno. Na mimi jino linanisumbua. Sasa kweli hapo kosa langu liko wapi? Nilitaka tu kujua kama hutaghafirika ukiniona. Na umetafutwa kuanzia Jumatatu hupatikani. May be Husna kajikatia tamaa....kama kawaida yako lazima uniangushe
tabasamu lako mi hoi bae
Cheka tuuuyaan leo sipo sawa kwenye kichwa changu bora tu mnifariji kama hivi nicheke basi
eee ulizani niko peke yanguKumbe makapuku tuko wengi
Usiongee sana basi. FBI yawezekana wana tapes zako kutoka MMU. Ushapata basi uchune. Focus on the future with your new babe...na nitampenda kama yeye ajipendavyo michepuko mala sijui MMU walaa sinaga mie mie tamtuliza tu huyo laazizi wangu...
Muombe shedede akikukubalia uje pm nikuelekeze dawaMkuu nikuangushe kivipi tena? Husna kasema anatibu wenye matatizo ya meno. Na mimi jino linanisumbua. Sasa kweli hapo kosa langu liko wapi? Nilitaka tu kujua kama hitaghafirika ukiniona. Na umetafutwa kuanzia Jumatatu hupatikani. May be Husna kajikatia tamaa....
mi nikaogopa nikadhani labda unanizibia ridhiki yangu aisee ........ kumbe poa saiv husna ndo my wify so naomba heshima ipande kidogo......Mkuu nikuangushe kivipi tena? Husna kasema anatibu wenye matatizo ya meno. Na mimi jino linanisumbua. Sasa kweli hapo kosa langu liko wapi? Nilitaka tu kujua kama hitaghafirika ukiniona. Na umetafutwa kuanzia Jumatatu hupatikani. May be Husna kajikatia tamaa....