Makapuku Forum

Makapuku Forum

huyo anaitwa husna toka mwanzo nilimwambia akae kwa shemela shululu atulie ale maisha akawa haeleweki kaenda kwa mondray kuruka ruka naona huko yameshamshinda

anataka kurudi huku ndio haiwezekani tena tumosa tumeshakukabidhi usijal mamy shululu ni wa kwako pekee hana makando kando ana tabia kama za baby wangu halaf sijakutambulisha kwa Mr wangu ngoja akirudi nitakutambulisha
nisharudi tayari
 
Habari zenu ndugu zangu...
Naomba muusikie wimbo wangu huu nilio imba mwenyewe..
nimesha rikodi nyimbo 2 zakwangu ila hazijawahi kulizwa popote labda kwa marafiki zangu wa nyumbani.
wimbo huu nimeurikodi December 2016
natumia jina la dah pressure mungu akipenda nitabadiri liwe Mondray
nikosoeni please..
 

Attachments

Similar Discussions

Back
Top Bottom