Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,926
Hongera sanaa mzee wa chura hivi hao chura unawafanyiaga nini![]()
nipo hapa mkuu, nmepewa madaraka ya kulevya
Hongera sanaa mzee wa chura hivi hao chura unawafanyiaga nini![]()
nipo hapa mkuu, nmepewa madaraka ya kulevya
Anzaunataka nianze kumention au?
Ndio angalau ange mkaribisha hata juice peke yakeMkuu ulitaka umletee magimbi?
All the time God is good
Anione tu kwa kusema ukwelimungu anakuona wallah
ulinichukulia fomu kwani??na ww kinakuhusu hiko chama
Form zimeishaMndali nahisi anatoa
unaona unavyonisumbua?? halafu lee akija uje ushtakiAnza
Potezea dadasijakuelewa mndali umemaanishaje hapo
Umejifunza na kuandika ndaga fijoSielewiii na ndaga fijo nyingi
napenda kutunza maliasili mzarendo mimiHongera sanaa mzee wa chura hivi hao chura unawafanyiaga nini
Sawa mkuuUlikuwa sahihi
All the time God is good
hivi si uliagaView attachment 506972Cc Chaplin
Sijakuchukulia ila unahusikaulinichukulia fomu kwani??
Mi sijawahi kuwa mfupi ila timbwili la wafupi nalijua maana nilikuwa na boss wangu alikuwa mfupi mda wote ni kujihami tuKwan ww ni mfupi
ww ndio umenianzaunaona unavyonisumbua?? halafu lee akija uje ushtaki
Aiseenapenda kutunza maliasili mzarendo mimi