Makapuku Forum

3/6 Day War 1967
Hii vita ilipiganwa baina ya Israel dhidi ya Syria,Misri,Jordan & Iraq
Israel ilipeleka wana jeshi 100000 katika mpaka wa Syria hivyo Waarabu wa nchi hizo 4 wakaungana na kupigana vita kwa siku 6
Mwisho Israel akashinda na kujichukulia mji wa Jerusalem na Ukanda wa Gaza
........
 
Duh aisee
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…