3/
6 Day War 1967
Hii vita ilipiganwa baina ya Israel dhidi ya Syria,Misri,Jordan & Iraq
Israel ilipeleka wana jeshi 100000 katika mpaka wa Syria hivyo Waarabu wa nchi hizo 4 wakaungana na kupigana vita kwa siku 6
Mwisho Israel akashinda na kujichukulia mji wa
Jerusalem na Ukanda wa Gaza
........