Walipo kutania ndo wanaachania... Angejiongeza saivi angekua kwa wakwe wakisuluhishaUmeshindwa nini kwenda hospital??
Nipo mkubwa. Mambo yanakwendajeKamanda mkubwa upo?
Basi akupe mdogo wake😱😱😱😱
We jamaa ni first class material, division one type. Umejiongeza katika kiwango cha lami.
Safi sana
Tuupo mkuu... Karibu ulingoniWakuu wa upande huu mpo?
Huyo ndo mwanamke sasa... Usiombe awe mkuu wa kitengo halafu wewe uwe chini yake..... Hapo mtakua mmenielewa![]()
Wanawake wanaweza
![]()
![]()
![]()
![]()
..............
Tunakimbiza kamanda...Tumekuja kijiweni hapa wapi mashemeji zangu aisee... Jimena, wapi lizziebettie , Wap Patience123 wapi aggyjay wapi my one and only wife amaizing wap Nahrene bila hawa watu kijiwe huwa hakichangamki asee..Nipo mkubwa. Mambo yanakwendaje
Tumekaribia kabisa ...Tuupo mkuu... Karibu ulingoni
Mmesha wateka huko pm ndio maaana hawaonekaniTunakimbiza kamanda...Tumekuja kijiweni hapa wapi mashemeji zangu aisee... Jimena, wapi lizziebettie , Wap Patience123 wapi aggyjay wapi my one and only wife amaizing wap Nahrene bila hawa watu kijiwe huwa hakichangamki asee..
Mkuu swalama???
Nakuja Mikocheni TCU
kweli mkabisa mkuuSafi braza, karibu tusukume gurudumu kwa mara nyingine.
Niko shemeji,nlikuwa napata gahawa na kashata kujiongezea joto,maana nipo single kwa sasa,sina wa kunisababishia joto toka jambilo anipige chini,,fanya fanya ukapokee maono mengine,ila yasiwe maono ya kichina kama yale tasavali.Tunakimbiza kamanda...Tumekuja kijiweni hapa wapi mashemeji zangu aisee... Jimena, wapi lizziebettie , Wap Patience123 wapi aggyjay wapi my one and only wife amaizing wap Nahrene bila hawa watu kijiwe huwa hakichangamki asee..

Unakuja mida gani?Nakuja Mikocheni TCU
Vipi tutaonana sehemu hizo?
...............
Shemeji wangu kwanza nakupongeza kwa kufanya uwamuzi sahihi maana mtumish jambilo si tu amepinda ila amenyongorota kabisa na hii sasa nitahakikisha unapata kilcho chema sana Shemeji yangu... sumbai, HOPECOMFORT hata sizzya007 waione hii kwanza halafu ntakwambia kitu shemeji..Niko shemeji,nlikuwa napata gahawa na kashata kujiongezea joto,maana nipo single kwa sasa,sina wa kunisababishia joto toka jambilo anipige chini,,fanya fanya ukapokee maono mengine,ila yasiwe maono ya kichina kama yale tasavali.
Ndo naenda bafuni kuweka mwili swaafUnakuja mida gani?