Makapuku Forum

Kazi zingine unaziomba halafu ukiipata unakuta ni kinyume kabisa na ulivyotegemea. Inabidi tu uifanye kwa sababu hakuna namna. Shedede kazi ya ulinzi ipo kama ulivyotegemea itakuwa hasa yule bosi mwenye wivu akiwepo?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] msukuma ww
Nipo mama. Nahangaika na kilimo cha umwagiliaji hapa Koromije. Kumbuka nilishawapa ofa ya kuwachinjia ndama mnono au ligulyati (dume) la mbuzi siku mtakapokuja kutalii huku. Ofa yangu bado iko pale pale. Na itafurahisha zaidi mkija bila mlinzi!
 
Nipo mama. Nahangaika na kilimo cha umwagiliaji hapa Koromije. Kumbuka nilishawapa ofa ya kuwachinjia ndama mnono au ligulyati (dume) la mbuzi siku mtakapokuja kutalii huku. Ofa yangu bado iko pale pale. Na itafurahisha zaidi mkija bila mlinzi!
[emoji23][emoji23] lee atakua ananilinda mm ndio vizuri
 
Asante Obe, jamaa yuko vizuri aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…