Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
aiseeeHawa watoto aisee yaani, Mungu ni Mungu tu,
Mmoja akifa tu mwingine hawezi kuishi
aiseeeHawa watoto aisee yaani, Mungu ni Mungu tu,
Mmoja akifa tu mwingine hawezi kuishi
Inabidi aiweke tena maana hamna namna nyingine sasashemela ata kuisave nije kuiona
Inabidi aiweke tena maana hamna namna nyingine sasa

ni nzuri lkn kama mbaya binamu nitamcheka ata kama anaipenda saa yakeNdo walivyozaliwa hivyo wanajisikia kawaida tu ni tofauti na kuzaliwa mzima halafu baadaye upate ulemavuwanasikitisha sana
Wakiwa wadogo walitaka kifanyiwa operesheni kuwatenganisha ikadhindika maana wanachangia kiungo vingiHawa watoto aisee yaani, Mungu ni Mungu tu,
Mmoja akifa tu mwingine hawezi kuishi
Muombe aiweke tuni nzuri lkn kama mbaya binamu nitamcheka ata kama anaipenda saa yake
Sahihi kabisaNdo walivyozaliwa hivyo wanajisikia kawaida tu ni tofauti na kuzaliwa mzima halafu baadaye upate ulemavu
Wakiwa wadogo walitaka kifanyiwa operesheni kuwatenganisha ikadhindika maana wanachangia kiungo vingi
Mmoja akiumwa tu Malaria basihuumwa wote Hivyo hata kufa wanaweza kupishana dk 2 tu
........
AiseeeNdo walivyozaliwa hivyo wanajisikia kawaida tu ni tofauti na kuzaliwa mzima halafu baadaye upate ulemavu
Wakiwa wadogo walitaka kifanyiwa operesheni kuwatenganisha ikadhindika maana wanachangia kiungo vingi
Mmoja akiumwa tu Malaria basihuumwa wote Hivyo hata kufa wanaweza kupishana dk 2 tu
........
hahahh binamu obe naomba uniwekee picha ya saa pls binamuMuombe aiweke tu
Janja sanaTupate Je wajua
![]()

Juve anaongoza 1Sahihi kabisa
Mpaka mpira uishe, maana Monaco hawaaminiki piaJuve anaongoza 1
Ninavyowajua Wataliano hilo goli halirudi
![]()
![]()
![]()
......
Wazee wamemaliza biasharaJuve anaongoza 1
Ninavyowajua Wataliano hilo goli halirudi
![]()
![]()
![]()
......
Kwa vile hawajaungana kichwani wangapata exposure mapema wangali infants wangeweza kutenganishwa hawa. Mipango ya Mungu!Maria na Consolata![]()
Wanapiga pepa la Form
Hivyo Sept ni mwendo wa University
.......
Huyu si katimuliwa kazi kwa kutaka kutafuna "mali" ya bosi. Karudishwa kazini? Kama Karudishwa basi ni wazi mlindwa kadata. Lee kazi anayo kudadadeki !!!hahaha ni shedede huyo
hapna mkuu mimi ni mlinzi muadilifu sana makapuku wote wananijuwaKumbeeeeeee aisehhhh shedede kwenye list nimemtaja mara mbili kwa minajilibya mlinzi wa shunie na id yake,kumbe mama unalindwa ila huyu askari wako ananyapia nyapia weka mbali na vitu vizuri
kumbe tupo woteKule nyanda za juu kusini
hahahah....haha itabid aje siku moja tuzungumze na kamati nzima ya wanakapuku tuyamalizeUna ubuyu wakutosha mkuu,hatushindwi weka mbali na watoto wewe sio wamchezo mchezo
msukuma jaman hayo tutaongea lee akirudi yataisha tuHuyu si katimuliwa kazi kwa kutaka kutafuna "mali" ya bosi. Karudishwa kazini? Kama Karudishwa basi ni wazi mlindwa kadata. Lee kazi anayo kudadadeki !!!