Makapuku Forum

wanasikitisha sana
Ndo walivyozaliwa hivyo wanajisikia kawaida tu ni tofauti na kuzaliwa mzima halafu baadaye upate ulemavu
Hawa watoto aisee yaani, Mungu ni Mungu tu,

Mmoja akifa tu mwingine hawezi kuishi
Wakiwa wadogo walitaka kifanyiwa operesheni kuwatenganisha ikadhindika maana wanachangia kiungo vingi
Mmoja akiumwa tu Malaria basihuumwa wote Hivyo hata kufa wanaweza kupishana dk 2 tu
........
 
Sahihi kabisa
 
Aiseee
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…