Makapuku Forum

Makapuku Forum

6/The Flu Pandemic
680a637ca8ca743fb8640a46740975e0.jpg
fd303e4f02c34b3883dff7e85fd688c1.jpg

Unayadharau mafua?
Noma Hii ya mafua iliikumba dunia kati ya mwaka 1918 hadi 1919 yaani vinamaliza tu vita vya dunia halafu linakuja janga jipya
Iliua zaidi ya watu milioni 75 huku ripoti zingine zikisema milioni 100
India pekee walikufa milioni 16
Wahanga wakuu wakiwa watoto na wazee
......
Hii inanikumbusha Ebola..

Kati ya magonjwa hatarishi..!

You die in a drop of a feather..!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom