Makapuku Forum

Tongotongo la Asubuhi
Mwaka 2010 katika hospitali moja huko London Uingerrza wsnandoa Wa Kinigeria walibahatoka kupata mtoto "mweupe" mwenye macho ya blue na ngozi nyeupe km wazungu
Wanandoa hao wote ni Waafrika weusi
Ingekuwa Bongo lingeibuka timbwili mpaka basi
Asubuhi njema
.............
 
Ingekuwa hatari sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…