Makapuku Forum

Mtaasisi

Kwanini muziki wa sasa hauna ladha?


Mdau Nyagei kuna mengi kuhusu hii hoja na niseme tu, 'upekee' ndiyo unakosekana katika muziki wa sasa iwe ni muziki wa band, taarabu au kizazi kipya.

Hapa tunahitaji mjadala mpana, labda tutaweza fanya wakati mwingine.

Umewahi kujiuliza kwanini singeli ndo muziki unaovutia sana kwa sasa?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…