Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,228
- 68,244
Nakuvulia kofia. Uko vizuri.yanga hii nahisi ndio iliimbwa na Pepe kale
Nakuvulia kofia. Uko vizuri.yanga hii nahisi ndio iliimbwa na Pepe kale
Asante kwa kuweka rekodi sawa.Majid Mussisi. SC Villa
Jackson Mayanja. Express
Wawe timu ya taifa beki no 2au 3 kazi unayo
Pia kwao ilikuwa ni kizotaNimekisikia tu, huyo Constantine Kimanda alikuwa ni Mkongomani, unaambiwa ni beki wa kati wa aina yake.
Said Nassoro Mwamba Kizota enzi hizoakicheza kama Straika, baada ya kasi kupungua akarudi kucheza Sentahafu ambapo hapo ndipo alipopewa jina la Kizota kutokana na aina yake ubabe na undava hali iliyofanya kuogopwa sana na Washambuliaji wengi.
Ikumbukwe Said Mwamba Kizota alipewa jina hilo la Kizota kama utani kutokana na eneo la Kizota lililopo Dodoma ambalo lilikuwa linaogopwa na viongozi wengi waliokuwa wanafanua makosa enzi ya utawala wa Jk Nyerere kwani hapo ndipo ofisi za chama zilipokuwa hivyo ukifanya kosa unaitwa Kizota mjini Dodoma ili uhukumiwe.
Unawakumbuka kina sule Kato, Robert AloroAsante kwa kuweka rekodi sawa.
Asante sana tuko pamoja.Pia kwao ilikuwa ni kizota
Nisiwe muongo, siwajui mkuu.Unawakumbuka kina sule Kato, Robert Aloro
hahahah kidogo tu mussolinNakuvulia kofia. Uko vizuri.
Alikuwa mfadhili tu, na ndio hao waliohallibu mpira wa Tanzaniahahahah kidogo tu mussolin
Raisi wa yanga alikua gulamari enzi hizo
ila mpira ulikua zamani shemAlikuwa mfadhili tu, na ndio hao waliohallibu mpira wa Tanzania
Gulamari na Dewji
Ni kweli mpira zamani ulikuwa unachezwa, tatizo walipoingia wahindi tu mpira uukaharibikaila mpira ulikua zamani shem
Af wewe!!!.....me niko polini kwa hoteli nacheki waniama kwa kutumia harubini!!!Asante mukongo, ndio umeruddi kutoka Dodoma![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
kama wanataka kutuuza vile! na research zao za uongo na kweliWamejuaje?![]()
.....
Yah ni Abbas Gulamali ambaye pia alikuwa Mbunge wa Kilombero.hahahah kidogo tu mussolin
Raisi wa yanga alikua gulamari enzi hizo
Hiyo habari nilishaisikia sana.Ahsante mkuu Mussolin5 kwa habari ya Oscar Kambona.....naskia kuna ndoa moja ilivunjika kwa mke kumsifia Kambona ni HB!!!
wonderfullyMadagascar![]()
Ndo kisiwa kikubwa zaidi barani Afrika
Pia ni kisiwa namba nne kwa ukubwa duniani kwa ujumla...linapatikana katika bahari ya hindi mashabiki lakini kusini mwa bara la Afrika
.....