Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Afadhali Bashite anajua kusoma na kuandikaErr..
Mwendo wa kikolomije eeh?
.......
Afadhali Bashite anajua kusoma na kuandikaErr..
Mwendo wa kikolomije eeh?
Hatia? Hati ya mashtaka ipo wapi, the innocent boy amefanyaje valentina wewe unatuchanganya na mawazo yako ngoja kwanzanimeona hana hatia bana ikabidi niahirishe
8/Malawi
![]()
Tuwaonee huruma hawa jirani zetu kuhusu Ziwa Nyasa...Janchi wenyewe kamejichokea tayari, pato lao ni USD 894
Hawa jamaa 85% wanaishi maporini(maeneo ya vijini) tatizo lao kubwa ni ugonjwa wa Ukimwi
Hivyo msijiulize sana kwanini Wanyakyusa wa Kyela wanaongoza kwa Virusi vya Ukimwi huko Mbeya....ni jirani zao!!!!
......

Sadaka u mean??? Uwi sadaka ni za maendeleo ya kanisa hasa samahani kwakweli. Omba kingine mbona huombi mtoto??Nipe hela kwanza
nimeuliza tu mm
MhHuwa namfuatilia sana huyu mtumishi wa Mungu bushiri na makanisa ambayo yapo Tanzania, yupo vizuri sana, na ukisali makanisa yake lazima utaona mafanikio, kumbe unaendaga kanisa la makongo oh glory to God basi utakua umeiva OH jesus that my boss
UsiguneMmmmh
huyo ni mama paroko mama mchungaji wetu ni blesshopeNakupenda sana mama mchungaji
Utasubiri sana, hunipendi you are the money thing, sadaka situmii kwa hongo kwa hili nina msimamo kuliko magufuliNasubiri kuona wallet yako
Ndo nimesahau sasa jamaniNambiee
hairisha tu kwakweli ujue huyo ni mtu mzimanimeona hana hatia bana ikabidi niahirishe
Ooh wajifanya hujui sioKesi ipi valee?
Hatia? Hati ya mashtaka ipo wapi, the innocent boy amefanyaje valentina wewe unatuchanganya na mawazo yako ngoja kwanza

kwahiyo watu wazima wala wazee hamna7/Niger
![]()
Haka kanchi kanapatikana huko Afrika Magharibi ..inapakana na akina Nigeria
Karibu nusu ya wananchi wake wana umri wa miaka 15 au chini ya hapo yaani Taifa lao limejaa vitoto tiupu
Pato lao la Taifa ni USD 853
29% ya wananchi wake ni mambumbumbu
......
Afadhali kama umeupata mdogo wangu...sakayo wangu ndio nimeingia na mzigo ubarikiwe sanababy usimsumbue tena ndizi nimepata
Sadaka u mean??? Uwi sadaka ni za maendeleo ya kanisa hasa samahani kwakweli. Omba kingine mbona huombi mtoto??




Hela kwanza mtoto badaeSadaka u mean??? Uwi sadaka ni za maendeleo ya kanisa hasa samahani kwakweli. Omba kingine mbona huombi mtoto??
hahahhahahUtasubiri sana, hunipendi you are the money thing, sadaka situmii kwa hongo kwa hili nina msimamo kuliko magufuli